CAF African Beach Soccer Championship Qualifies 2015

Baraka F.K

Member
Aug 28, 2012
79
26
Timu ya Taifa ya Tanzania Beach Soccer imeichapa timu ya Taifa Kenya mabao 7-6 katika mchezo uliofanyika jioni ya leo Klabu ya Escape One Msasani Dar Es salaam.

Kwa kuitoa Kenya sasa Tanzania itacheza na Misri kati ya Machi 7, 8 na kurudiana kati ya Machi 13,14, mshindi atakwenda moja moja kwenye fainali za soka la Ufukweni barano Afrika nchini Shelisheli mwezi April mwaka huu.


Katika mchezo wa leo mabao ya Tanzania yalifungwa na Ally Rabbi mabao matano, Kashuru Salum bao moja na Samwel John bao moja.

Tanzania imefuzu hatua inayofuata kwa jumla ya mabao 12 -9 kufuatia kushinda mcheo wa awali 5 - 3 jijini Mombasa



ImageUploadedByJamiiForums1424531570.128852.jpg
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1424531535.095165.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1424531535.095165.jpg
    72.3 KB · Views: 79
Huu ni wakati muafaka wa kuanzisha mashindano ya kitaifa ya soka la ufukweni.

Tunashukuru wana vyuo kama CBE,IFM,UDSM wanashiriki mchezo huu na wanaupenda.Angalau tuna pa kuanzia. Support ya FIFA na CAF hasa katika kufundisha makocha na waamuzi inatusaidia sana.

Fursa ipo kubwa kwa watanzania wanaotaka kuwa makocha na waamuzi wa beach soccer, jitokezeni mtafanyiw training. Mechi ya leo waamuzi (ni watano) wametoka Shelisheli,Madagascar na Senegal.

Kumbe tungekuwa na wa kwetu nao wangepata fursa ya kwenda nje na kutangaza jina la nchi yetu.
 
Huu ni wakati muafaka wa kuanzisha mashindano ya kitaifa ya soka la ufukweni.Tunashukuru wana vyuo kama CBE,IFM,UDSM wanashiriki mchezo huu na wanaupenda.Angalau tuna pa kuanzia.Support ya FIFA na CAF hasa katika kufundisha makocha na waamuzi inatusaidia sana.Fursa ipo kubwa kwa watanzania wanaotaka kuwa makocha na waamuzi wa beach soccer,jitokezeni mtafanyiw training.Mechi ya leo waamuzi (ni watano) wametoka Shelisheli,Madagascar na Senegal
.Kumbe tungekuwa na wa kwetu nao wangepata fursa ya kwenda nje na kutangaza jina la nchi yetu.

Malinzi huku ni kutapatapa;

Soccer ya kawaida imekushinda hadi ukimbilie huku?
Priority yako hasa ni nini? Au ni kugusa gusa kila sehemu?
Malinzi,TFF mmeshindwa kuwa na mipango endelevu ya soka la kawaida?
Mbona mnatufanya Tanzania tunakuwa wapweke kiasi hiki?
Pesa mnazo...lakini cha ajabu hata website tuliyokwambia majuzi umeshindwa kufanyia kazi kama source ya INFORMATION.
Wadau bado tuna imani kuwa mkizinduka mnaweza kutupeleka mahali sahihi...Lakini kwa sasa mnatukatisha tamaa
 
Malinzi huku ni kutapatapa;

Soccer ya kawaida imekushinda hadi ukimbilie huku?
Priority yako hasa ni nini? Au ni kugusa gusa kila sehemu?
Malinzi,TFF mmeshindwa kuwa na mipango endelevu ya soka la kawaida?
Mbona mnatufanya Tanzania tunakuwa wapweke kiasi hiki?
Pesa mnazo...lakini cha ajabu hata website tuliyokwambia majuzi umeshindwa kufanyia kazi kama source ya INFORMATION.
Wadau bado tuna imani kuwa mkizinduka mnaweza kutupeleka mahali sahihi...Lakini kwa sasa mnatukatisha tamaa
Freeland hivi kwako wewe mpira ni vodacom premier league and for that matter Yanga na Simba basi? au sana ukiongeza Taifa stars (ambayo siku hizi attendance ni poor?).

Sikubaliani na hilo,mpira ni wa wote vijana,wanawake na wapenzi wa Futsal na Beach soccer. Ninaunga mkono hoja ya FIFA kwamba aina zote za mpira ziendelezwe.

Kazi kubwa na uwekezaji sasa hivi unawekwa kwa mpira wa vijana kuandaa U17 kwa ajili ya qualifiers za Afrika madagascar 2017 na fainali za Afrika U17 mwaka 2019 ambazo tumeomba uenyeji na inshallah tutapewa.

Kwa sasa hivi niko Niger nimejionea mwenyewe na kusimamia kama kamisaa mechi tatu za fainali Africa U17(ikiwemo Cameroon vs Ivory Coast)na ninaamini tukiwa na nia thabiti fainali za Madagascar 2017 tutakuwepo.

Usiponde beach soccer nayo ina mchango wake katika kukuza jina la nchi.

Good night.
 
Freeland nilikwishatoa taarifa kuwa tovuti ya TFF inajengwa upya kwa style ya tovuti ya CAF na FIFA,ikiwa tayari tutaizindua.Roma haikujengwa siku moja.
 
Last edited by a moderator:
Freeland nilikwishatoa taarifa kuwa tovuti ya TFF inajengwa upya kwa style ya tovuti ya CAF na FIFA,ikiwa tayari tutaizindua.Roma haikujengwa siku moja.

wavivu hupenda sana kudandia msemo wa 'roma haikujengwa kwa siku moja' na kamwe hawawezi hata 'kuijenga roma'!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom