Don Calvino
Senior Member
- Mar 3, 2012
- 113
- 29
Kumekuwa na habari nyingi muhimu za dunia ya tatu (3rd world countries), ila utakuta C.N.N na vituo vingine vya habari vinaona za kwao kwenye habari za kimataifa ni muhimu kuliko hata kuonyesha na kuweka za Africa.Mfano mlipuko wa Kenya juzi sijauona kuongelewa hata kwenye tovuti yao ya cnn.com