Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,821
Dear Money Penny
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.
Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.
Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.
Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato
Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,
Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?
Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??
Wako
Eliza."
Jamaa. Eliza anaomba msaada huku
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.
Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.
Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.
Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato
Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,
Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?
Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??
Wako
Eliza."
Jamaa. Eliza anaomba msaada huku