Ludovick Mwijage
Member
- Jan 1, 2010
- 42
- 27
BWANA NYERERE: 'MTUMISHI WA MUNGU' AU MTAWALA WA UMMA?
Akraba wapendwa, wana JF,
Kuna dhana kwamba yaliyopita si ndwele bali tugange yaliyopo na yajayo. Hata hivyo, dhana hii ni tegemevu kwa maana kwamba, yaliyopita yanakuwa ni ndwele pale tu, yanapoeleweka vyema. Pengine si vibaya tukawa tunakumbushana tulikotoka. Ifuatayo, ni video fupi, kuhusu huko tulikotoka. [ame="http://www.youtube.com/watch?v=24vlNc83EfU"]YouTube- Julius K. Nyerere: Servant of God or Untarnished Tyrant?[/ame]
N.B. Tafadhali nakili linki hii kwenye browser yako kama haifunguki kama nilivyoituma.
Ninakutakieni wikendi njema.
Ludovick Simon Mwijage
Jagtvej 215B, 3-2
2100 Copenhagen Ø
Denmark
Tel + 45 52 60 71 71
Akraba wapendwa, wana JF,
Kuna dhana kwamba yaliyopita si ndwele bali tugange yaliyopo na yajayo. Hata hivyo, dhana hii ni tegemevu kwa maana kwamba, yaliyopita yanakuwa ni ndwele pale tu, yanapoeleweka vyema. Pengine si vibaya tukawa tunakumbushana tulikotoka. Ifuatayo, ni video fupi, kuhusu huko tulikotoka. [ame="http://www.youtube.com/watch?v=24vlNc83EfU"]YouTube- Julius K. Nyerere: Servant of God or Untarnished Tyrant?[/ame]
N.B. Tafadhali nakili linki hii kwenye browser yako kama haifunguki kama nilivyoituma.
Ninakutakieni wikendi njema.
Ludovick Simon Mwijage
Jagtvej 215B, 3-2
2100 Copenhagen Ø
Denmark
Tel + 45 52 60 71 71