Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 724
- 295
Nina proposal ndugu zangu kwa mtu/watu walitayari tushirikiane tuanzishe radio station mkoa mpya Geita italipa sana! Mkoa huu sasa unakuwa mkoa ambao unatarajiwa kupanuka haraka sana ukizingatia unapesa sana kulingana na migodi iliyomo ndani yake! Sasa wanasema ujanja ni kujiwahi, tukianza na overage ya mikoa mitano tutapiga hadi jijini Mwanza na mikoa jirani kama Shinyanga! Sasa naomba kweli kama kuna watu/mtu aliyeserious kuhusiana na hili tuwasiliane na nitaeleza machato au mapendekezo yangu vizuri kwao! Email yangu: radioproducer@rediff.com aliyetayari tuwasiliane kwa mail!