Upekuzi101
Senior Member
- Aug 28, 2020
- 134
- 348
Bandarini hakuna wamasai waliofukuzwa ili kuwapisha wajomba zenu.Nyie watu baada ya wimbo wenu wa mgao wa umeme kuchuja mmetafuta kioja kingine..
Pigeni picha na kila meli inayoingia bandarini
Vioja tu,Bandarini hakuna wamasai waliofukuzwa ili kuwapisha wajomba zenu.
Ni syndicate, mbona mkubwa wa mabaka aliyestaafu Amewekwa Ili achafuliwe nn!!!!Hutasikia Lisu, Mbowe wala Zito wakikemea huu wizi.
Ufafanuzi upi ndugu?Msigwa kashalitolea hili suala ufafanuzi! Hata hivyo watu Wana haki ya kuhoji
Kumbafuh wasioitakia nchi mwema mmojawao!!Nyie watu baada ya wimbo wenu wa mgao wa umeme kuchuja mmetafuta kioja kingine..
Pigeni picha na kila meli inayoingia bandarini
Vioja tu mnaleta, kama kaweza kupiga picha ndege kwa nini asipige na wanyama wakiwa wanapkiwaKumbafuh wasioitakia nchi mwema mmojawao!!
Nipe uthibitisho hapo ni Tanzania. Kuna mijitu mizwazwa sanaChuma Hicho Kimekuja Shamba Kuvuna Mazao Shambani Kwa Bwana Heri, Mambo Yote Heri