LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,350
- 3,222
Japo majoka bado yapo mengine yana makengeza hapa kwetu tanzania,tunahitaji viongozi watakawaowasema live na kuwaondoa hayo majoka..Buriana Capt. Komba
Tena majoka yani wa leo ni akheri wale wa Marehemu Nduli Amin Dadaa!
Tulionao leo hii ni zaidi ya joka tunalolijua.........