At least watu wa Chadema hatuwezi kuwashakia tenaTaa zimezima, halafu kilichoniudhi ni uropokaji wa baadhi ya wabunge, huku wakipayuka kwa kejeli kuikashifu CDM.
Audhubillah! unauhakika na unacho sema?Mwiguru ndiye aliyelopoka kuwa wabunge wa CHADEMA wanawashwa.
Bora na huko ukatike maana wao ndio wameshindwa kuweka hii sekta sawa!!Kila siku sisi tu!??
Mh ndugai kaahirisha bunge mpaka kesho asubuhi baada ya umeme kukatika.
Jamani mjengoni hata stand by genereta hamna?
Ngeleja ............Mh ndugai kaahirisha bunge mpaka kesho asubuhi baada ya umeme kukatika.
Jamani mjengoni hata stand by genereta hamna?