Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Awambia anawasha ngaa kumpongeza raisi kuteuwa ma DC
Aanza na Dr Olimboka na amesema ni namna ya CCM kuendesha nchi awafanananisha na Janjawidi iweje au ni watu gani walio na bunduki kwenda kumkamata Olimboka kama sio askari???
Akapigwa stop wakadai kesi iko mahakamani na ameombwa athibitishe kauli yake kuwa serikali ni janjaweed toka kwa Mery Nagu.
Anakalishwa chini, Lissu anaomba mwongozo anakataliwa.
Sugu anatakiwa kutoa ushahidi na mwenyekiti wa bunge.
Sugu anawambia iweje watu wawe na siraha kama sio Janjaweed ni kina nani?
Anaendelea
Anasema wakati anakwenda Dar vijana wa kitaa wakamsimamisha wakmpeleka kwa mkuu kwa jinsi alivyojenga kwao ni kama kijiji na akajoji kavitoa wapi???? Hadi uwanja wa ndege utajengwa na akahoji vipi mbona haulizwi kazipata wapi?
UPDATE
LISSU anapewa nafasi anawafundisha kanuni na taratibu
Anawambia ilitakiwa Marry Nagu athibitishe kwanza kuwa Sugu anadanganya bunge ila cha ajabu mwenyekiti anamkatalia anamwambia anapotosha umma kaipindisha kanuni
Mnyika;
Adhihirisha udhaifu wa rais
Awambia madaktari na walimu wanajeuri ya kugoma ila askari wanaogopa ila kitendo cha Waethiopia kufia Dodoma ni dalili ya askari kuchoka.
Aanza na Dr Olimboka na amesema ni namna ya CCM kuendesha nchi awafanananisha na Janjawidi iweje au ni watu gani walio na bunduki kwenda kumkamata Olimboka kama sio askari???
Akapigwa stop wakadai kesi iko mahakamani na ameombwa athibitishe kauli yake kuwa serikali ni janjaweed toka kwa Mery Nagu.
Anakalishwa chini, Lissu anaomba mwongozo anakataliwa.
Sugu anatakiwa kutoa ushahidi na mwenyekiti wa bunge.
Sugu anawambia iweje watu wawe na siraha kama sio Janjaweed ni kina nani?
Anaendelea
Anasema wakati anakwenda Dar vijana wa kitaa wakamsimamisha wakmpeleka kwa mkuu kwa jinsi alivyojenga kwao ni kama kijiji na akajoji kavitoa wapi???? Hadi uwanja wa ndege utajengwa na akahoji vipi mbona haulizwi kazipata wapi?
UPDATE
LISSU anapewa nafasi anawafundisha kanuni na taratibu
Anawambia ilitakiwa Marry Nagu athibitishe kwanza kuwa Sugu anadanganya bunge ila cha ajabu mwenyekiti anamkatalia anamwambia anapotosha umma kaipindisha kanuni
Mnyika;
Adhihirisha udhaifu wa rais
Awambia madaktari na walimu wanajeuri ya kugoma ila askari wanaogopa ila kitendo cha Waethiopia kufia Dodoma ni dalili ya askari kuchoka.