MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
Wiliam shelukindo na Betriece shelukindo hawatarudi hali ni ngumu...badala yake
January Makamba
Aisha kigoda
January Makamba
Aisha kigoda
NImeona Mwandosya kwenye list ya mdau King of Kings, sioni kama anaweza fanya lolote, amekuwa kwenye system hii mbovu miaka nenda rudi kama waziri, apumzike awapishe wengine sasa.
Dr.Slaa
Freeman Mbowe
Mpendazoe
Tundu Lisu
John Mnyika
Kafulila
James Mbatia
Renatus Mkinga
Mwita wa Tarime
Ndugu wanaJF natanguliza samahani nitakaowakwaza, Mwaka huu ningependa kupendekeza bunge letu lije na watu wafuatao,
Unaweza kuendeleza List (hata kwa wali ambao sio wabunge kwa sasa but wametangaza kugombea)
1.Dr W. Slaa
2.Dr Pombe
3.Dr Mwakyembe
4.Anna kilango
5.Olesendeka
6.Zitto kabwe
7.John Myika
8.Tundu Lissu
10.F. mbowe
11.Renatus Mkinga
13.Wilfred Lwakatare
14.George Simbachawene
15.Wabunge wote wa CUF Zanzibar
16.Anna Tibaijuka
17.Selelii
18.Lembeli
19.Said.Nkuba-Sikonge,Tabora
20.Mch.Amani Masangwa,Monduli kwa Lowasa
21.Samuel Sitta
22.Godfrey Zambi
23.Fred Mpendazoe(kama CCJ ikipata usajili)
24.Pinda
25.Arfi,Chadema Mpanda
26.Beatrice Shellukindo
27.William Shellukindo
28.Ndesamburo
29.Ananilea Nkya
31.Sima Rwakilomba - Karagwe
32.Mch. Msigwa - Iringa Mjini
33........
34........
Kwani JK a.k.a. Mbayuwayu naye ni Mbunge kumwingiza kwenye orodha ya wasiotakiwa kurudi?
Christofa Ole Sendeka hafai kabisa aaaaaaaaaaaaaa maana hana hekima, anagombana hata na mkuu wake wa mkoa!
Victor kimesera
john mrema
regia mtema
nakaaya sumari
mwita
Amosi Makalla jimbo la mvomero
Amosi Makalla jimbo la mvomero
kwa hapo Karagwe jamani nafikiri KARIM AMRI huyu ndo mzalendo tunayemtaka,achana na habari za huyo Siima wako.
Mmemsahau Kinyambiss?