Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Hafai kabisa, ni zaidi ya kinyonga!
Huyu mdingi ni mnafiki nambari wani, ameanza kuwashughulikia wanataka Rasimu ya wananchi ndiyo ijadiliwe siyo ile ya JK!
Hafai kabisa, ni zaidi ya kinyonga!
Kwanini wavibadilishe KINYEMELA wakati wanaweza kutumia WINGI wao kuvipitisha/badilishi?! Kweli CCM imeishiwa busara kiasi hiki?
Ndg wilbrod slaa alishashema sitta hana jipya zaidi ya kulinda maslahi ya chama watu wakaanza kumponda nadhani sasa mnajionea wenyewe kwa macho hata ashuke malaika ndani ya ccm hakuna jipya litakalotokea chini ya jua .
Uuuongo kikao kimetangazwa mpaka kesho asubuj
huyu sita siyo mzee wa viwango bali ni mzee wa viungo
Tunamshukuru sana Tundu Lisu kwa kukuwaambia mapema, kwamba waondoe TAKATAKA YAO NDANI YA BUNGE... Safi sana WAKILI NA MWANASHERIA NGULI TUNDU LISU.
Sita mi mzigo bora hata Kificho... Kazi yake kupoteza muda tu! Ebu niambie bunge linaahirishwa mpaka kesho saa 10! Asubuhi watakuwa wanafanya kazi gani? Ni mpuuzi sana huyu Babu ....unafki kauweka mbele sana...