Japo wanaCCM wenzangu watanishangaa, nashauri bunge litakalokaa hivi karibuni limpigie JK kura ya kutokuwa na imani nae. Na hizi ndio sababu zangu 10 zilizonifanya nifikie huu uamuzi:
1) Anahusika moja kwa moja na Richmond na DOWANS
2) Maswahiba wake kama EL na RA ndio wahujumu uchumi namba moja Tanzania
3) Amejitahidi kwa nguvu zake zote kuanzisha udini TAnzania hasa kwa hotuba yake ya kwanza tangu bunge lililopo lifunguliwe rasmi.
4) Anaruhusu chuki baina ya watanzania kwa kushabikia udini na vurugu nchini ikiwa ni pamoja na mauaji ya Arusha na kuacha mitandao ya simu kama ZANTEL kutuma global sms kwa wateja wake bila kujali matokeo ya messages hizo za chuki
5) Yeye ni rahisi wa kwanza kuongoza nchi na familia yake (namaanisha Salma, Ridhiwani kuwa na nguvu kuliko hata mawaziri)
6) Nchi kaiacha kwa RA wakati yeye amegeuza ikulu kuwa ukumbi wa dansi
7) Hata waliochini yake hawamuheshimu mfano kila waziri wake anasema lakwake. Na hata kwenye chama chake ambapo yeye ni mwenyekiti kila mwananachma anatoa msimamo wake tofauti ikimaanisha JK hatoi leadership ya kutosha.
8) Kwakutumia UDOM, anagawa degree sizizo na thamani kwa maana kuwa watu wenye degree moja wanafundisha wanafunzi wanaosomea degree moja.
9) Ni mgonjwa anayeanguka anguka ovyo hivyo ni afadhali apumzishwe kwa manufaa ya umma
10) Ni mbinafsi asiyeshaurika
1) Anahusika moja kwa moja na Richmond na DOWANS
2) Maswahiba wake kama EL na RA ndio wahujumu uchumi namba moja Tanzania
3) Amejitahidi kwa nguvu zake zote kuanzisha udini TAnzania hasa kwa hotuba yake ya kwanza tangu bunge lililopo lifunguliwe rasmi.
4) Anaruhusu chuki baina ya watanzania kwa kushabikia udini na vurugu nchini ikiwa ni pamoja na mauaji ya Arusha na kuacha mitandao ya simu kama ZANTEL kutuma global sms kwa wateja wake bila kujali matokeo ya messages hizo za chuki
5) Yeye ni rahisi wa kwanza kuongoza nchi na familia yake (namaanisha Salma, Ridhiwani kuwa na nguvu kuliko hata mawaziri)
6) Nchi kaiacha kwa RA wakati yeye amegeuza ikulu kuwa ukumbi wa dansi
7) Hata waliochini yake hawamuheshimu mfano kila waziri wake anasema lakwake. Na hata kwenye chama chake ambapo yeye ni mwenyekiti kila mwananachma anatoa msimamo wake tofauti ikimaanisha JK hatoi leadership ya kutosha.
8) Kwakutumia UDOM, anagawa degree sizizo na thamani kwa maana kuwa watu wenye degree moja wanafundisha wanafunzi wanaosomea degree moja.
9) Ni mgonjwa anayeanguka anguka ovyo hivyo ni afadhali apumzishwe kwa manufaa ya umma
10) Ni mbinafsi asiyeshaurika