sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Muhimbili wwte wa serikali inapotekea ukawa abused lazima sisi WANANCHI wa Hali ya chini tuusemee maana sisi tunaieshimu Hiyo miimili jaman
Kitendo Cha ndugu yetu Rostam Azizi kutwambia mkataba kusaini Kwa kusisitiza kuwa ikitokea Kuna mgogoro lazima utatuliwa Kwa kutumia sheria za wingereza maana sheria na mahakama za Tanzania haziko huru maana zinaendeshwa Kwa sms na simu za kutoka ikulu ni tusi kubwa sana Kwa muhimili wa mahakama sisi tuna heshimu sana sheria zetu na mahakama zetu Kwa Nini mtu aabuse mahakama Mimi kama sifi Leo nauliza jaji mkuu upo wapi?au unaogopa kisa umeongezewa muda?
Kitendo Cha ndugu yetu Rostam Azizi kutwambia mkataba kusaini Kwa kusisitiza kuwa ikitokea Kuna mgogoro lazima utatuliwa Kwa kutumia sheria za wingereza maana sheria na mahakama za Tanzania haziko huru maana zinaendeshwa Kwa sms na simu za kutoka ikulu ni tusi kubwa sana Kwa muhimili wa mahakama sisi tuna heshimu sana sheria zetu na mahakama zetu Kwa Nini mtu aabuse mahakama Mimi kama sifi Leo nauliza jaji mkuu upo wapi?au unaogopa kisa umeongezewa muda?