johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,364
- 142,599
Mbunge Anna Lupembe pamoja na mbunge wa Arusha Mjini mh Gambo wamewasilisha Barua ya mwaliko kwa Nabii Mkuu Geodevie kutoka Ofisi ya Bunge
Baada ya kukabidhiwa Nabii Mkuu Geodevie amewaambia Huo ni mwaliko wa Bunge kwenda Kufanya Maombi Maalum kwenye Chapel ya Bunge
Kanisa zima likaripuka kwa hoi hoi na vifijo
Nawatakia Dominica Njema 😄
Baada ya kukabidhiwa Nabii Mkuu Geodevie amewaambia Huo ni mwaliko wa Bunge kwenda Kufanya Maombi Maalum kwenye Chapel ya Bunge
Kanisa zima likaripuka kwa hoi hoi na vifijo
Nawatakia Dominica Njema 😄