MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
:embarassed2: Ninadhani ni kila mtanzania amekuwa akisubiria Tume iliyoundwa na Bunge kuhusu sakata la wizara ya Nishati na Mlungula kwa Wabunge na Jairo mtuhumiwa number 1 na waziri wake, Kisha ikahamia kwa Katibu Mkuu kiongozi Luhanjo kumsafisha Jairo ambaye Sakata lake liliibuliwa na Mama Shelukindo Bungeni, Sasa hapa ilisemekana hata waziri mkuu alikuwa Cha Mtoto kwa Luhanjo.:embarassed2:
Tume ile iliyoundwa iliibua mengi na ya kweli kabisa na kila mtanzania mpaka na wabunge wote waliokuwa wakisikiliza LIVE wanashangaa nini kinachosubiriwa na Mkuu wa Nchi.:embarassed2:
Je kwa namna hii Bunge lina Sauti kwa Rais wa nchii hii?????
Hebu tusaidiane kwa hili....:embarassed2:
Tume ile iliyoundwa iliibua mengi na ya kweli kabisa na kila mtanzania mpaka na wabunge wote waliokuwa wakisikiliza LIVE wanashangaa nini kinachosubiriwa na Mkuu wa Nchi.:embarassed2:
Je kwa namna hii Bunge lina Sauti kwa Rais wa nchii hii?????
Hebu tusaidiane kwa hili....:embarassed2: