Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 804
Nimekuwa nikifatilia vipindi vya Bunge hili runingani almost toka siku yakwanza, binafsi sijapata picha hili ni bunge la aina gani, hoja zamsingi zinakuwa ignored kwa mitizamo ya kichama, wanawake wamekuwa wengi kiasi kwamba kuonyeshana udume na kupeana mipasho kumezidi, spika aeleweki mtazamo, kanuni zinatenguliwa, pasipo kujali mitazamo na tofauti za kiitikadi wapinzani wanaunganishwa, kambi rasmi kuu ya upinzani inapuuzwa duh! Ktk hali hii mashaka yaja, nawasiwasi utendaji wake!