Bunge la 10: A Wrong 1st Step!, A Wrong 1st Start!

Ni miaka mitano ya ombwe katika miimili yote mitatu. Unapokuwa na rais asiyejua kwa nini nchi yake ni maskini na kaingia madarakani kwa kuiba kura, Spika wa bunge aliyepewa nafassi kwa sifa tu ya kuvaa sidiria na sketi na mwanasheria mkuu anayeonekana kwenye kuapisha watu tu huku idara ya mahakama ikizidi kudorora ni ishara ya nchi kutokomea gizani ktk miaka mitano ijayo. Pole sana watanzania.
Mkuu Ulokwitanga, asante kwa haya uliyoyasema miaka mitatu nyuma, sasa ndio tunayashuhudia!.
Paskali
 
Nabashiri kuwa ni moja ya mabunge yatakayokuwa magumu kama busara itawekwa kando halafu ushabiki ukatawala. Italeta vuguvugu kubwa la mabadiliko kuliko lile lililotokana na maamuzi ya kumfungia Zitto ubunge kwasababu ya kudanganya.
Mkuu Ndahani, ubashiri wako unatimia!.
 
Wanabodi,
Bado niko mjini Dodoma ili kushudia Uzinduzi wa Bunge la Kumi utakafanyika siku ya Alhamisi tarehe 18/11/2010.

Nasema limeanza with wrong step, kuhalalisha ubaguzi wa kijinsia kwa kisingizio cha affimative action cha kutaka 'Spika Mwanamke'!. This was a wrong move!. Akizungumzia sababu za kumpiga bosi wake, connection ya mafisadi, etc, Spika Makinda amejibu with confidence, no connection, ila amejikanyaga pale alipokiri kuwa kama Sitta angepitishwa, yeye angejitoa, which means alishakuwa tipped Sitta hapitishwi!.
'Politics is indeed a dirty game'!.

Not only a wrong move, but also a wrong start, kwanini lizinduliwe Alhamisi, wakati lingeweza kabisa kuzinduliwa J.4! na biashara ikaisha, watu tukaendelea ma mambo mengine?.

Sio kwamba nauliza swali, bali ni poor planning tangu mwanzo. Mwanzo ilikuwa lizinduliwe Jumatano, lakini kwa vile itaangukia sikukuu, sasa litazinduliwa Alhamisi. Hivi Jumatatu na Jumanne wabunge watakuwa wanafanya nini?. Jumatatu is a waste completely, kwa mtu asiye na shughuli yoyote kuishi Dodoma siku 3 with nothing to do, is a waste!.

Jumanne ndipo jina la Waziri Mkuu litafichuliwa na kupitishwa na Bunge, ataapishwa Alhamisi asubuhi, rais alizindue Bunge Alhamisi jioni. Why all this drag?.

Bad time management ni dalili ya kwanza ya a wrong start, Jina la PM lilitakiwa liletwe Jumatatu, lipitishwe, Jumanne asubuhi aapishwe, jioni Rais alifungue bunge, Alhamisi atangaze cabinet, Ijumaa/Jumamosi liapishwe.

Sio siri niko frustrated a bit na haya maroroso ya mwanzo mwanzo.

Mkuu Pasco, wazee wetu wa zamani walikuwa wanatuambia KUA UYAONE,,,, sasa hii thread yako imekua na tumeyaona wenyewe madhara ya kuweka watu dhaifu kwenye uongozi kisa tu Mwanamke. Ila ni kama Mungu katuonyesha njia kwani 2015 hakuna mtu atathubutu kutuambia kuwa ni zamu ya rais mwanamke. Miaka mitano ya kutokuwa na bunge inatutafuna watanzania, Mh Sitta aliweka very high standards, tunamkumbuka kwa kweli; ingawa naye ALIPITISHAMO hoja zenye maslahi kwako, which is normal to all human being
 
Bi Mkubwa bunge limemuhelemea maana limejaa vijana machachari sana...hakuna habari za Kidumu chama na fikra za Mwalimu
 
Ni miaka mitano ya ombwe katika miimili yote mitatu. Unapokuwa na rais asiyejua kwa nini nchi yake ni maskini na kaingia madarakani kwa kuiba kura, Spika wa bunge aliyepewa nafassi kwa sifa tu ya kuvaa sidiria na sketi na mwanasheria mkuu anayeonekana kwenye kuapisha watu tu huku idara ya mahakama ikizidi kudorora ni ishara ya nchi kutokomea gizani ktk miaka mitano ijayo. Pole sana watanzania.

Mkuu ulikuwa na maono !
 
Mkuu Ndahani, ubashiri wako unatimia!.

Pasco, vitu vingine havihitaji mtu kuwa mnajimu kuviona....viko very obvious! Tulio wengi hatujabadilika kimtazamo wakati mambo mengi yanayotuzunguka yamebadilika. Tutegemee nini sasa?
 
Wanabodi,
Bunge la Kumi

Nasema limeanza with wrong step, kuhalalisha ubaguzi wa kijinsia kwa kisingizio cha affimative action cha kutaka 'Spika Mwanamke'!. This was a wrong move!. Akizungumzia sababu za kumpiga bosi wake, connection ya mafisadi, etc, Spika Makinda amejibu with confidence, no connection, ila amejikanyaga pale alipokiri kuwa kama Sitta angepitishwa, yeye angejitoa, which means alishakuwa tipped Sitta hapitishwi!.
'Politics is indeed a dirty game'!.

Sio siri niko frustrated a bit na haya maroroso ya mwanzo mwanzo.
Kwa mnaoshangalia haya maroroso ya bunge letu, kwa kudhani, yameanza leo!, sie wengine tuliyaona since day one!, hivyo whataver hapens now!, its not a surprise!, leo bunge linajadili issue iliyopo mahakamani!, na spika yupo!.

Katiba mpya tuhakikishe spika wa bunge ni lazima awe mwanasheria!.

Paskali
 
Back
Top Bottom