Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,344
- 219,709
- Thread starter
- #21
Ujumbe wako umefika hadi kwa Katibu MkuuUmewahi kujiuliza swali hili:
Kama CCM wanaweza kuwategemea mahakama, jeshi la polisi na tume ya Taifa ya Uchaguzi", kwa nini CHADEMA na wao wasifanye kila linalowezekana kuwategemea hao hao wakati wa uchaguzi?
Usikurupuke kujibu, wala usibeze kwa kushindwa tu kwako kuelewa maana ya swali hilo muhimu sana.
Kwani CCM wao wanawafanyia nini wote hao hadi kila mara wawe upande wao?
Huu ni mwelekeo mpya wa mawazo ninaouanzisha, ili CHADEMA waanze mara moja kazi kushughulikia upande huo.
CCM haina hati miliki na kitu chochote ndani ya nchi hii.
Mkuu 'monde arabe' nikushukuru kwa kunipa fursa ya kuweka mbele wazo hili, ili CHADEMA walishughulikie haraka.