Bunda: Kitimtimu cha Oparesheni 255 kimewaka, Lissu apokelewa kishujaa, Maelfu Wajitokeza

Umewahi kujiuliza swali hili:
Kama CCM wanaweza kuwategemea mahakama, jeshi la polisi na tume ya Taifa ya Uchaguzi", kwa nini CHADEMA na wao wasifanye kila linalowezekana kuwategemea hao hao wakati wa uchaguzi?

Usikurupuke kujibu, wala usibeze kwa kushindwa tu kwako kuelewa maana ya swali hilo muhimu sana.

Kwani CCM wao wanawafanyia nini wote hao hadi kila mara wawe upande wao?

Huu ni mwelekeo mpya wa mawazo ninaouanzisha, ili CHADEMA waanze mara moja kazi kushughulikia upande huo.

CCM haina hati miliki na kitu chochote ndani ya nchi hii.

Mkuu 'monde arabe' nikushukuru kwa kunipa fursa ya kuweka mbele wazo hili, ili CHADEMA walishughulikie haraka.
Ujumbe wako umefika hadi kwa Katibu Mkuu
 
Bunda leo Jioni

Screenshot_2023-09-02-21-47-44-1.png
 

Attachments

  • Screenshot_2023-09-02-21-47-51-1.png
    Screenshot_2023-09-02-21-47-51-1.png
    159.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_2023-09-02-21-54-51-1.png
    Screenshot_2023-09-02-21-54-51-1.png
    145.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_2023-09-02-21-54-55-1.png
    Screenshot_2023-09-02-21-54-55-1.png
    158.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_2023-09-02-21-55-02-1.png
    Screenshot_2023-09-02-21-55-02-1.png
    162.8 KB · Views: 1
Umewahi kujiuliza swali hili:
Kama CCM wanaweza kuwategemea mahakama, jeshi la polisi na tume ya Taifa ya Uchaguzi", kwa nini CHADEMA na wao wasifanye kila linalowezekana kuwategemea hao hao wakati wa uchaguzi?

Usikurupuke kujibu, wala usibeze kwa kushindwa tu kwako kuelewa maana ya swali hilo muhimu sana.

Kwani CCM wao wanawafanyia nini wote hao hadi kila mara wawe upande wao?

Huu ni mwelekeo mpya wa mawazo ninaouanzisha, ili CHADEMA waanze mara moja kazi kushughulikia upande huo.

CCM haina hati miliki na kitu chochote ndani ya nchi hii.

Mkuu 'monde arabe' nikushukuru kwa kunipa fursa ya kuweka mbele wazo hili, ili CHADEMA walishughulikie haraka.
Ili tuendelee tunahitaji ardhi, watu(wenye akili nzuri), siasa safi na uongozi Bora.
Ardhi (tunayo kubwa, ila tunaanza kugawa kwa kukosa/kupuungua hivi vitatu vingine).
Watu (tunao wenye akili nzuri wachache).
Siasa safi (hapo, siasa yahitaji uboreshaji).
Uongozi bora (ni changamoto kwa sababu ya ukosefu wa siasa safi).
Tunatakiwa kuboresha siasa (kwa kutumia watu wachache wenye akili nzuri), tutapata uongozi bora ambao utaweka mikakati ya kuboresha na kuongeza idadi ya watu wenye akili nzuri.
 
Hakuna namna nzuri ninayoweza kueleza mapokezi ya Tundu Lissu Mjini Bunda , itoshe tu kusema haya ni mapokezi ya kifalme , watu ni wengi kuliko maneno yangu .

Hakika kwa Chadema ni dhahiri sasa kwamba gari limewaka ! Si rahisi tena kuzuia Chadema kwa hali ilivyo , Uchawi na Fitna zote vimechemsha .

Kingine ni hiki , Habari za Mkataba mbovu wa Bandari zimewakasirisha mno wakazi wa Bunda , ambao Wamesisitiza ulazima wa Katiba mpya sasa hivi

Hali ndio kama mnavyoona

View attachment 2736813
View attachment 2736814View attachment 2736815
Wanajaa kumshangaa hana lolote
 
Hivi vikosi viwili TU ccm Chali

Angani -mbowe
Ardhini-lisu

Navuta picha zito zuberi wa chadema ,nauislam wake angepewa Kanda ya kusini huko ,akazungumzie bandari na katiba

Vuta picha hiyo
Mnaangalia ujazo wa hadhara. Uchaguzi mipango ndiposa mtaanza kulia lia oooh tumeibiwa.
 
Umewahi kujiuliza swali hili:
Kama CCM wanaweza kuwategemea mahakama, jeshi la polisi na tume ya Taifa ya Uchaguzi", kwa nini CHADEMA na wao wasifanye kila linalowezekana kuwategemea hao hao wakati wa uchaguzi?

Usikurupuke kujibu, wala usibeze kwa kushindwa tu kwako kuelewa maana ya swali hilo muhimu sana.

Kwani CCM wao wanawafanyia nini wote hao hadi kila mara wawe upande wao?

Huu ni mwelekeo mpya wa mawazo ninaouanzisha, ili CHADEMA waanze mara moja kazi kushughulikia upande huo.

CCM haina hati miliki na kitu chochote ndani ya nchi hii.

Mkuu 'monde arabe' nikushukuru kwa kunipa fursa ya kuweka mbele wazo hili, ili CHADEMA walishughulikie haraka.
Kwahio CHADEMA waanze kuwalipa mishahara ama?
 
Hakuna namna nzuri ninayoweza kueleza mapokezi ya Tundu Lissu Mjini Bunda , itoshe tu kusema haya ni mapokezi ya kifalme , watu ni wengi kuliko maneno yangu .

Hakika kwa Chadema ni dhahiri sasa kwamba gari limewaka ! Si rahisi tena kuzuia Chadema kwa hali ilivyo , Uchawi na Fitna zote vimechemsha .

Kingine ni hiki , Habari za Mkataba mbovu wa Bandari zimewakasirisha mno wakazi wa Bunda , ambao Wamesisitiza ulazima wa Katiba mpya sasa hivi

Hali ndio kama mnavyoona

View attachment 2736813
View attachment 2736814View attachment 2736815
Ila Mungu ni fundi ameumba wajinga wengi hapa Duniani Ili kuwezesha wachache watawale,wengi wao hapo ni maskini wa kutupwa na wanaamini eti kina Lisu na Chadema or any political party ndio itawaletea ugali mezani 😂😂

Mwisho wakawaulize jirani zao hustlers hapo Kenya kama Ruto amewaletea Neema.

Mda wa kupoteza Kwa Wanasiasa ambao wanatafuta Kuendesha maisha Yao Kwa kutumia siasa ila wanakufanya wewe mjinga kuwa ngazi Yao Sina.
 
Hakuna namna nzuri ninayoweza kueleza mapokezi ya Tundu Lissu Mjini Bunda , itoshe tu kusema haya ni mapokezi ya kifalme , watu ni wengi kuliko maneno yangu .

Hakika kwa Chadema ni dhahiri sasa kwamba gari limewaka ! Si rahisi tena kuzuia Chadema kwa hali ilivyo , Uchawi na Fitna zote vimechemsha .

Kingine ni hiki , Habari za Mkataba mbovu wa Bandari zimewakasirisha mno wakazi wa Bunda , ambao Wamesisitiza ulazima wa Katiba mpya sasa hivi

Hali ndio kama mnavyoona

View attachment 2736813
View attachment 2736814View attachment 2736815
Kingine ni hiki , Habari za Mkataba mbovu wa Bandari zimewakasirisha mno wakazi wa Bunda , ambao Wamesisitiza ulazima wa Katiba mpya sasa hivi
 
Back
Top Bottom