Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
Hellow wana JF na kina Nshomile woote mliopo hapa (BIshanga, Muganyizi, Nitonye etc) napenda kuwataarifu kuwa nimerudi rasmi kutoka huko kwenu. Nimekaa Bukoba ndani ya siku chache lakini nimejitahidi angalau kufika maeneo kadhaa ikiwemo Bukoba mjini, Kasharu, Hamugenbe, Kashozi, Custom, Kaitaba, Njia panda Katerero, Kemondo, Kagondo, Muhutwe, Kaboya, Katoke, Kagoma, MUleba, Rubungo, Iyangilo, Humura, Rulongo, Rubya, Ijumbi, Ibuga, Kamachumu, makumbusho ya wahaya, Nyawaipaga, Ruhanga, Nyailigamba, BUjingo falls, Rushwa, Mushabago, Nshamba, Njia panda Mgana hosp, Kyaka, Izigo, Mtukula, Kyamirowa, Kiziramuyaga, Nyakabango....etc
sasa kuhusu nini nimejifunza huko hebu kuweni wavumilivu kidogo nitawaletea hapa muda si mrefu... ila Nshomile mna vituko!!
Kama nimetaja kijiji chako basi pokea salamu, maana huko mvua zinanyesha na barabara zinapitika vizuri tuu. maharage bado uko ni cheap kg 1 shs 700 - 1000, ndizi zipo nyingi tu kama kawaida nasikia!
Pia napenda niwajulishe kuwa ndugu zenu huko wananunua sana gari aina ya Forester, zimejaa sana kwa kina Nshomile sasa ivi.
Ukimsikia Nshomile anasema nakuja na boxer usidhani anakuja na **** bali ana kuja na pikipiki aina ya boxer maana ndio zimejaa huko.
Pia nimefurahi kumuona Nshomile mmoja yeye anaishi DSM lakini alienda kwao akajenga kijiji cha kisasa na kuweka umeme na kuwapangisha bure wafanyakazi wa serikali waliopo hapo yaani walimu, wauguzi na polisi. amejenga pia kituo cha polisi, soko, mahakama na maduka na yeye wala sio mwanasiasa! hongera kwake na uwe mfanmo kwa wengine
sikupenda kabisa kwa baadhi ya gest hapo mjini magodoro kufunikwa na nylonkwa sababu ambazo nisingependa kuzitaja hapa! MBADIRIKE NYIE WATANI WANGU!!
Ahsante kwa walionielekeza kwenda kula 888 maana kweli wana menu saaaaaaaafi sana. nitawamiss sana
Tabia yao ya kuongea ki-nshomile muda wooooote na mahali pooote nayo sikuipenda maana ukiwa wewe huelewo wanakunyanyapaa kiasi fulani
mikoa mingine tumechanganyika sana nowadays, lakini kwa kina nshomile bado wanadominate sana huko kwao unaweza fika sehemu ukauliza mtu wa kabila tofauti na kumpata ikawa shida sana! na ukimpata more than 60% amesakuwa nshomile!!
Mengi nikikumbuka nitayaleta hapa,
ni salamu na report kutoka Nshomile city - Bukoba....... wadau mpo?
sasa kuhusu nini nimejifunza huko hebu kuweni wavumilivu kidogo nitawaletea hapa muda si mrefu... ila Nshomile mna vituko!!
Kama nimetaja kijiji chako basi pokea salamu, maana huko mvua zinanyesha na barabara zinapitika vizuri tuu. maharage bado uko ni cheap kg 1 shs 700 - 1000, ndizi zipo nyingi tu kama kawaida nasikia!
Pia napenda niwajulishe kuwa ndugu zenu huko wananunua sana gari aina ya Forester, zimejaa sana kwa kina Nshomile sasa ivi.
Ukimsikia Nshomile anasema nakuja na boxer usidhani anakuja na **** bali ana kuja na pikipiki aina ya boxer maana ndio zimejaa huko.
Pia nimefurahi kumuona Nshomile mmoja yeye anaishi DSM lakini alienda kwao akajenga kijiji cha kisasa na kuweka umeme na kuwapangisha bure wafanyakazi wa serikali waliopo hapo yaani walimu, wauguzi na polisi. amejenga pia kituo cha polisi, soko, mahakama na maduka na yeye wala sio mwanasiasa! hongera kwake na uwe mfanmo kwa wengine
sikupenda kabisa kwa baadhi ya gest hapo mjini magodoro kufunikwa na nylonkwa sababu ambazo nisingependa kuzitaja hapa! MBADIRIKE NYIE WATANI WANGU!!
Ahsante kwa walionielekeza kwenda kula 888 maana kweli wana menu saaaaaaaafi sana. nitawamiss sana
Tabia yao ya kuongea ki-nshomile muda wooooote na mahali pooote nayo sikuipenda maana ukiwa wewe huelewo wanakunyanyapaa kiasi fulani
mikoa mingine tumechanganyika sana nowadays, lakini kwa kina nshomile bado wanadominate sana huko kwao unaweza fika sehemu ukauliza mtu wa kabila tofauti na kumpata ikawa shida sana! na ukimpata more than 60% amesakuwa nshomile!!
Mengi nikikumbuka nitayaleta hapa,
ni salamu na report kutoka Nshomile city - Bukoba....... wadau mpo?