mxyo16
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 1,243
- 758
- Thread starter
- #41
ni gari za majigambo hizi, wanunuzi ni kina mayweather na warabu wauza mafuta, siumeshaona wanatumia Lamborghini kama patrol cars za polisi!!!yani 4.5 m kwa ajili ya gari tu. Na kuna watu eti wananunua. Yani iyo ni dhambi mbele ya mungu