Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,823
- 12,279
Ni jukumu la wataalam wetu kufanya uchunguzi ni watu walio na nini wataathirika na dawa hizo!Kwenye dawa mtu anajua dawa ipi asitumie itamletea shida fulani, kuna kitu hawataki kukiweka wazi kwenye hizi chanjo na huku kuganda kwa damu.