AMLIGHT
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 1,140
- 824
kufanya payment online kwa debit card ni instant mkuu, uwe una deposit kwa broker,kwenda kwenye e-wallet au unalipia bidhaa kwa merchant nk.
Ninachotaka kujua ni: kuweka pesa kwa hyo e-wallet nawekaje? Naweza tumia local bank au?