Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
Cmwelew m2 huyu jamani.nafahamiana nae kwa miaka ming tu kikawaida kbs,nilimtambulisha mwenza wng,anafaham namtt.cha ajabu km wiki mbili mfululizo hv sahz anapga simu usiku tu akiomba tumit,mara ya kwnz niliona kawaida labda kapitiwa,lakini cha ajbu anaendelea.nachojiuliza kwanini awe ananitafta ucku tu,!kama hana nia na mawazo ya kshetani anajua napokaa kwanini asinifate nyumban?haikuwa kawaida yake kwanini aanze leo hii?hebu nisaidien jaman m sielewi elewi yan.