mbwana semsimbazi
Senior Member
- Sep 5, 2013
- 196
- 202
_*Mfanyakazi: ```Boss leo siwezi kuja kazini kuna mvua kubwa imenyesha!, maji yamejaa kuzunguka nyumba yangu.```*_
_*Boss: ```Kwenye maombi yako ya kazi uliandika Hobbi yako ni KUOGELEA...!! Tukutane kazini...!!!```*_
_*Boss: ```Kwenye maombi yako ya kazi uliandika Hobbi yako ni KUOGELEA...!! Tukutane kazini...!!!```*_