YouTube tayari wameshaweka tangazo kuwa hakuna live streamingHili pambano kama unategemea Online Streaming inabidi uweke laptop mezani ufanye kazi ya ziada, maana jamaa wanajitahidi ku-shut down link zote zinazoonyesha live. Nasikia wanawatishia watu kwamba watawashitaki, hivyo hapa natafuta channel nyingine kila baada ya dakika 15, jamaa wameamua kupiga hela si kitoto
Kama chama tawala na bunge live!
Mkuu hivi ina jina lingine?nimetafuta sana mobdro sioni channel inayoitwa sk1.
Mkuu mbona hiyo sk1 haipo au inapatikan wapi...kwenye sport hamna hiyo kitu
Mkuu hivi ina jina lingine?nimetafuta sana mobdro sioni channel inayoitwa sk1.
Mkuu hilo jina mbona halipoOkay, another option, nenda kwenye Instagram live. kule kuna jamaa wanafanya live streaming pia. Kuna huyu dada, "combattvveteran" alikuwa hewani lakini sasa hivi kasema anasubiri mpambano wenyewe ndio ataonyesha live. Ni clear channel
Mkuu hilo jina mbona halipo
Qaluu lamnakuminal musswalliin