Bomu laokotwa kwenye uzio wa michongoma

Mpwechekule

JF-Expert Member
Jul 8, 2012
221
55
Katika hali isiyotarajiwa mtoto mdogo umri 10 aliona mfuko wa plastik kwenye uzio wa michongoma, na kuuchunguza akakuta ni bomu na kutoa taarifa kwa majirani ambao walitoa taarifa polisi, polisi walifika na kubaini ni bomu, na kuwaarifu jwtz ambao walikuja kuliondoa, siku hiyo hiyo ya jumamosi th 3 . 11 .2012, ni siku ya jumuia, na jumuia ilifanyika hapo baada ya kumalizika jumuia ndipo bomu likaonekana, WASIWASI wangu ni kutopewa kipaumbele habari hii na vyombo vya usalama na habari, kwani ninavyo mimi kukutwa bomu mtaani ni hatari, ukizingatia halikutengenezwa kienyeji, pia hali ya usalama wa ndani ya nchi yetu si nzuri, hawa viongozi wetu wanasubiri maafa ndio wachukue hatua?.
 
Mkuu hebu fafanua zaidi. Wapi ilikua??

Katika hali isiyotarajiwa mtoto mdogo umri 10 aliona mfuko wa plastik kwenye uzio wa michongoma, na kuuchunguza akakuta ni bomu na kutoa taarifa kwa majirani ambao walitoa taarifa polisi, polisi walifika na kubaini ni bomu, na kuwaarifu jwtz ambao walikuja kuliondoa, siku hiyo hiyo ya jumamosi th 3 . 11 .2012, ni siku ya jumuia, na jumuia ilifanyika hapo baada ya kumalizika jumuia ndipo bomu likaonekana, WASIWASI wangu ni kutopewa kipaumbele habari hii na vyombo vya usalama na habari, kwani ninavyo mimi kukutwa bomu mtaani ni hatari, ukizingatia halikutengenezwa kienyeji, pia hali ya usalama wa ndani ya nchi yetu si nzuri, hawa viongozi wetu wanasubiri maafa ndio wachukue hatua?.
 
Taarifa haijakamilika, tuambie ni wapi ili tupime uzito, kama ni somalia hiyo ni kawaida
 
Katika hali isiyotarajiwa mtoto mdogo umri 10 aliona mfuko wa plastik kwenye uzio wa michongoma, na kuuchunguza akakuta ni bomu na kutoa taarifa kwa majirani ambao walitoa taarifa polisi, polisi walifika na kubaini ni bomu, na kuwaarifu jwtz ambao walikuja kuliondoa, siku hiyo hiyo ya jumamosi th 3 . 11 .2012, ni siku ya jumuia, na jumuia ilifanyika hapo baada ya kumalizika jumuia ndipo bomu likaonekana, WASIWASI wangu ni kutopewa kipaumbele habari hii na vyombo vya usalama na habari, kwani ninavyo mimi kukutwa bomu mtaani ni hatari, ukizingatia halikutengenezwa kienyeji, pia hali ya usalama wa ndani ya nchi yetu si nzuri, hawa viongozi wetu wanasubiri maafa ndio wachukue hatua?.
wapi imetokea na chanzo gani cha habari?
 
ukisikia uchochezi ndio huu.Hilo bomu limeokotwa wapi! na huyo mtoto alijuaje kuwa hilo ni bomu?
 
Ni Yombo vituka karibu na whihte wosh ndiko limeokutwa ilo bomu, ni habari ya kuaminika hata kanisa la katoliki lumo mwisho wa lami limeshauri watu tuwe makini
 
ukisikia uchochezi ndio huu.Hilo bomu limeokotwa wapi! na huyo mtoto alijuaje kuwa hilo ni bomu?
Hicho ndiyo kilikuwa cha kwanza kujiuliza, mtoto wa miaka kumi alijuaje kama hilo ni bomu. Labda analeta story za Sudan au Somalia huko ambako watoto wanapigana vita. Hivi mtoto wa Tanzania analijua bomu kweli? Curious!
 
Mtaniwia radhi wakuu kwa kutoitaja sehemu usika ni Yombo vituka na ni maeneo ya chalinze camp mbele kidogo nyuma ya whight wosh bar
 
mkuu badao hujafafanua, may be jibu maswali haya?
1. jumuiya ilikuwa kwa mzee nani?
2. huyo mtoto (10yrs)alijuaje kama hilo ni bomu?
3. Je lilikuwa upande wa nje au ndani wa michongoma? alikuwa nafanya usafi?
nakadhalika*8
 
ukisikia uchochezi ndio huu.Hilo bomu limeokotwa wapi! na huyo mtoto alijuaje kuwa hilo ni bomu?
ni yombo vituka nami ni mkazi wa huku hata waandishi wa habari walikuwepo, nimeshangaa habari hiyo haikupewa uzito ondoa hofu ya uchochezi sina tabia hiyo isiyo na faida, nimeshuhudia hilo baada ya kupigiwa sim na mdogo wangu ambae yupo karibu sana na hapo
 
Mtoto wa miaka kumi analijua bomu kwa kuliona........
Bomu lilikutwa sehemu iliyokuwa na jumuiya........I would opt to investigate this avenue!!!!!!!!!
 
Hicho ndiyo kilikuwa cha kwanza kujiuliza, mtoto wa miaka kumi alijuaje kama hilo ni bomu. Labda analeta story za Sudan au Somalia huko ambako watoto wanapigana vita. Hivi mtoto wa Tanzania analijua bomu kweli? Curious!
kasema amelijua kupitia video pia ukumbuke polisi na jeshi wamethibitisha ni bomu na waliondoka nalo,
na watu wengi wa yombo vituka wamelishuhudia, wewe kaa ukiwaza somalia na sudani,
 
Hicho ndiyo kilikuwa cha kwanza kujiuliza, mtoto wa miaka kumi alijuaje kama hilo ni bomu. Labda analeta story za Sudan au Somalia huko ambako watoto wanapigana vita. Hivi mtoto wa Tanzania analijua bomu kweli? Curious!

sidhani kama mtoto wa miaka kumi wa siku hizi wanaopenda kuangalia movie za action iwe vigumu sana kwake kung'amua kitu kilichofanana na bomu!
 
kasema amelijua kupitia video pia ukumbuke polisi na jeshi wamethibitisha ni bomu na waliondoka nalo,
na watu wengi wa yombo vituka wamelishuhudia, wewe kaa ukiwaza somalia na sudani,
Kwa hiyo ni bomu dogo la kurushwa kwa mkono? Maana nafikiri kwenye video hayo ndo yapo common. Anyway kama hali ni hiyo basi amani ya nchi ipo mashakani. Maana yafaa kujiuliza hilo bomu limeingiaje nchini? Na limefikaje mitaani kama huko? Na maana ya kulitelekeza hapo ilikuwa ni nini?
 
Back
Top Bottom