Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Kuna taarifa kuwa Jwtz wanatarajia kulipua bomu lilijichimbia ardhini maeneo ya Buyuni jijini Dar.mlipuko huo unatarajiwa kutokea mida ya saa 5 asubuhi ya leo.wakazi wa maeneo haya wametakiwa kutokuwa na hofu kwani milipuko hautarajiwi kuleta madhara.
Source:msemaji wa JWTZ on TBC-1
Source:msemaji wa JWTZ on TBC-1