- Thread starter
- #61
Ni nani alikwambia kwamba Ikulu ilikuwa kando ya Mji? Na katikati ya Mji palikuwa wapi sasa kama Ikulu ilikuwa kando ya Mji?
Mkuu,
Elimu uliyoitoa inatosha na wengi wetu tumeielewa. Huyo mnywa viroba Laki si Pesa humu JF ma-GT wote tumempuuza na hatujibu posts au comments zake. Nakusii uungane nasi katika maazimio hayo. Maana ni wazo hoja yako ameielewa ila tu ameamua kupinga.