Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,150
- 7,005
Kuna bomoa bomoa kubwa imefanyika kule salasala eneo la benaco...inasemekana wavamizi walivamia eneo hilo bila kuwa na vibali vya kulimiliki...wito wangu kwa watanzania wenzangu acheni kuvamia maeneo ya watu na pia serikali iwaandalie wananchi wke maeneo maalumu ya kuishi ili kuondoa migogoro ya Ardhi kila uchao!!