The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Yote mnayoshauri yafanyike, yangewezekana kama taifa lingekuwa na viongozi-watumishi; na sio viongozi-watawala. Na wadanganyika tumekubali kutawaliwa, badala ya kutumikiwa.
Suala la mgawanyo wa mapato tuliliongelea sana huko nyuma; na kutoa mapendekezo kadhaa. Botswana-model ingetufaa; na hasa taifa(state, not government) lingekuwa majority shareholder kwenye kila kampuni yenye maslahi makubwa kwa ustawi wa taifa hili.
Suala la mgawanyo wa mapato tuliliongelea sana huko nyuma; na kutoa mapendekezo kadhaa. Botswana-model ingetufaa; na hasa taifa(state, not government) lingekuwa majority shareholder kwenye kila kampuni yenye maslahi makubwa kwa ustawi wa taifa hili.