Mkuu yani imetokea fast and the camera were quick to avoid direct images zake, ila ukiangalia wachezaji, kocha na kila mtu ana hali mbayaWhat happened?
Nilitoka kidogo na mara tu nastukia wachezaji wanaondolewa uwanjani!
Mkuu yani imetokea fast and the camera were quick to avoid direct images zake, ila ukiangalia wachezaji, kocha na kila mtu ana hali mbaya
kocha aliingia bila hata kuitwa na refa
alikua peke yake, nadhani jamaa atakua amevuta
WAMEFUTA MECHI