Mh!jamani rais alikuwa anajiburudisha kidogo!kiumli sijui imekaaje,yaani kwa mzee kama yeye naona haijatulia hata kidogo!!
Bodyguard wake yuko Magomeni Mikumi.....via crystal ball
Kusoma si darasani tu. Ndoto inanijia kwamba baada ya hilo darasa na ufunuo kutoka Jamaica watoto wetu sasa wataitwa WATOTO KWANZA-Watajengewa viwanja vya michezo mijini na vijijini, viwanja vya mashuleni vitakuwa bora zaidi, wataepukana na Ajali za baiskeli, pikipiki na magari kwa kutocheza mipira tena ya karatasi kwenye viwanja ambavyo ni barabarara na waliojenga mahekalu kwenye maeneo ya viwanja vya michezo mahekalu yanapeperushwa kama sufi kuruhusu ujenzi wa viwanja. Naota kwamba haitakuwa lazima kwa watoto kupelekwa kunduchi beach kwa burudani kwani michezo itakuwa mingi.