The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Wazungu wabaya sana, kamwe hawatafanikiwa kutuchonganisha ili wapate wakumshika mkono!
Madini yetu mali yetu. Siasa zetu watu wetu waache kumwaga damu zetu ili kupandikiza chuki.
Siku (trh 7/9/2017) Magufuli Pombe anapokea ripoti zake za kamati za makinikia ya Almasi na Tanzanite, Daudi Albert Bashite a. k. a Paul Christian Makonda alikuwa wapi??
Kumbuka kuwa hakuwepo kwenye tukio hilo pale Ikulu na ndiyo siku hiyohiyo mchana kati ya saa 7 na 8 mchana, Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma kwa risasi kwa lengo la kumuua....!!
I hope ukweli kamili utajulikana tu siyo muda mrefu. Na ikumbukwe kuwa binadamu wote tumeumbwa na vichwa vyenye akili za kufikiri na siyo kufugia nywele tu.....
They pretend to be smart..... but there are people who are smarter than them... trust me!!