sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,073
Wanasheria hebu tusaidiane hapa.
Mfano binti alipata divisheni 3 mwaka 2018 na akawa mtaani sasa kapata mimba, yeye anasema bado ni mwanafunzi anasubiri kwenda form 5.
Je, hii ni kesi ya kumpa mimba mwanafunzi?
Mfano binti alipata divisheni 3 mwaka 2018 na akawa mtaani sasa kapata mimba, yeye anasema bado ni mwanafunzi anasubiri kwenda form 5.
Je, hii ni kesi ya kumpa mimba mwanafunzi?