Bimkubwa agoma kurudi Africa, kisa mfumo wa maisha mbovu

Hahahaaa lakini hebu tuache upuuzi kidogo...hivi kwani kuna tatizo gani watu wakiishi ughaibuni au wakiishi mavumbini? Yote si maisha tu? Kama yote ni maisha haya malumbano huwa yana tija gani zaidi ya kufurahisha jamvi tu?



Hao jamaa usiwashangae sana kwani ndivyo walivyo. Wako adventurous sana. They can't rest on their laurels. Ndo maana unawaona hawaachi kuzitafuta fursa. Huwezi kuendelea kama ukikaa tu na kuridhika na hali uliyonayo. Leo hii pengine Marekani isingekuwepo kama si ujasiri na uthubutu wa hao wazungu kutoka makwao na kwenda ku explore the New World.

Sasa wewe endelea kushangaa malengo, ujasiri, na uthubutu wao huku wenzio wakizidi kupiga hatua mbele kwenye maendeleo.



Hahahaa huruma ya nini tena?



Kwani hamuwezi kujitafutia hadi mtafutiwe?

Tukiacha utani, sioni hata kwa nini hili suala liwe ishu kihivyo kiasi cha kuweza kujitokeza mara kwa mara humu.

Tatizo ni nini hasa? Manake kila mtu ana maisha yake....sasa ya nini kuanza kuponda maisha ya watu ambao hata huwajui?

Kuponda maisha ya watu tena usiowajua kunamnufaisha nini mtu?


Ha ha ha ha Mkuu mie sijaponda nimetamani tu nikaushudue ulimwengu anaoishi mheshimiwa Kuveta ambao ktk utandawazi huu Una makochi na vitu vingine ambavyo bongo mavumbini hakuna.....

Teh teh teh mi naona hakuna tatizo MTU kuishi mbelez ila huku kwenye vumbi ndio shida huoni mamake Kuveta hataki kurudiii??

Ha ha haaa mkuu hopeful umemsoma Kuveta tangu mwanzo na thread zake zingine ameyaanzisha yeye haya mambo hata hivyo nashangaa wanaomkandia wakati mwenzao yupo kwenye raha tele....

Binafsi sioni tatizo MTU kuishi kwenye tambaralez labda haters hao mkuu....

Again tupeni michongo jamani na sie tuje kuyaona maghorofa ya yuropa
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha Mkuu mie sijaponda nimetamani tu nikaushudue ulimwengu anaoishi mheshimiwa Kuveta ambao ktk utandawazi huu Una makochi na vitu vingine ambavyo bongo mavumbini hakuna.....

Teh teh teh mi naona hakuna tatizo MTU kuishi mbelez ila huku kwenye vumbi ndio shida huoni mamake Kuveta hataki kurudiii??

Ha ha haaa mkuu hopeful umemsoma Kuveta tangu mwanzo na thread zake zingine ameyaanzisha yeye haya mambo hata hivyo nashangaa wanaomkandia wakati mwenzao yupo kwenye raha tele....

Binafsi sioni tatizo MTU kuishi kwenye tambaralez labda haters hao mkuu....

Again tupeni michongo jamani na sie tuje kuyaona maghorofa ya yuropa

Oh well, kila mtu na maisha yake na kila mtu ana haki na uhuru wa kuishi apendako na apendavyo.

Kwa kweli sioni tija katika kuponda maisha ya watu hata nisiowajua.

Na hata kama nawajua, kuponda, kukejeli, na kukebehi maisha ya wengine kunakunufaishaje wewe mpondaji?

Nadhani hata wewe unalijua hilo sema basi tu....
 
Waungwana habar zenu? Ndugu wana jf mm nina miaka 15 hapa euro kwa kuwa nlitoka Tz mwaka 1999 before ya uchaguzi mkuu. Nakumbuka wakati nafika maisha haya bimkubwa wangu ndio alikuwa mtu wa kwanza kuniomba nirudi bongo,ili nkaanze tena maisha ya kukaa vijiweni bila sababu ya msingi. Ingawa nilikuwa nasaidia home na kutuma kila aina ya kile kilichokuwa kinahitajika nyumban na ktk sehem mbalimbali za familia yetu ila bimkubwa bado aling'ang'ania nirudi, kwa kigezo kuwa Ulaya ni pazuri kwa kutafuta lkn sio mahali pa kuishi wastarabu, sijui eti nkiishi sana Ulaya basi ntasahau mila na desturi zetu na matokeo yake ntaiga zile za ulaya kama vile kutoboa masikio, pua, kuvaa cheni, kata K na kila aina ya mambo ya kimagharibi ambayo yako kinyume na mfumo wa kimaadili ya kiafrika hasa Tz.

Bimkubwa aliendelea kunshauri kuwa naweza kukusanya hela afu nkaja bongo kufanya biashara kubwa na nzuri na nkasahau kabisa swala la Ulaya, kifupi bmkubwa alikuwa mzalendo haswa na ndio maana alipingana na swala la mm kuishi moja kwa moja Ulaya. Miaka kadhaa iliyopita nlibadili uraia wangu kutokana na mazingira ya kimaisha hali iliyomfanya bmkubwa achukie zaid kuliko mwanzo, hata nlipofanya mpango wa kumleta mdogo wangu huku kutafuta maisha bmkuu ndo alikuwa mtu wa kwanza kupinga hilo ila mdingi aling'ang'ania dogo aje kwan bongo alikuwa hana dili lolote la maana zaid ya kuzurura tu na kufanya vibarua vya kutafuta ela ya mihogo na chai asubuhi. So mwaka jana wakati dogo anaowa ilibid tuwafanyie mpango waje ili na wao washerehekee harusi ya mtoto wao.

Katika kuja kwao ilikuwa shida kwa bmkubwa kani hakutamani kabisa kukanyaga ardhi hii ya malkia Elizabeth, ilibid dingi na familia waingilie kati kumbembeleza. Sasa mwaka mmoja sasa tangu wazee wafike hapa, bmkubwa kakumbana na mambo mazuri ya kizungu ambayo bongo hakuwa kuyaona treni za umeme za katikati ya mji, misosi ya kila aina, saa zote anakaa kwenye makoch ya kisasa tofauti na vikochi vya kibongo, maziwa ndio yamekuwa maji yake, hali ya hewa nzuri na watu tunaishi ktk mazingira mazur hakuna kuchafuka na mengine mengi ya huku Ulaya ambayo Africa bado hayajanusa acha kufika kabisa. Juzi kati nimemwambia bmkuu kwa sasa nataka niwakatie ticket warudi bongo kuendelea na maisha yao.

Nashangaa bimkuu ndo kawa mkali kuliko dingi. Anadai hawezi kutia mguu wake Afrika tena hasa bongo kutokana na mifumo mibovu ya kimaisha inayosababishwa na serikali chovu za kiafrika, ambazo hazijali haki za msingi za raia wao na kusababisha watu kuishi maisha duni na yasiokuwa na mwelekeo huku wao wakiishi km Ulaya vile na familia zao. Basi nimeamua niwaache wazee wangu wale maisha na watoto wao, ila nimemkumbusha bimkubwa ule msemo usemao "Usimtukane mamba kabla ya kuvuka mto" bimkubwa kawa mpoleee Chezea Ulaya nini!

Wahi hospital kabla ugojwa haujakuzidia ndugu. Ugonjwa wako mkubwa na maisha yako ni ya kawaida sana
 
Oh well, kila mtu na maisha yake na kila mtu ana haki na uhuru wa kuishi apendako na apendavyo.

Kwa kweli sioni tija katika kuponda maisha ya watu hata nisiowajua.

Na hata kama nawajua, kuponda, kukejeli, na kukebehi maisha ya wengine kunakunufaishaje wewe mpondaji?

Nadhani hata wewe unalijua hilo sema basi tu....

Nalijua Sana Sana ndio maana sijaponda zaidi ya kusifia unajua why?

Mimi pamoja nakuishi kwenye mivumbi huku nilibahatika kukaa mitaa ya wastaarabu ambako maisha ya MTU nje ya Nyumba yako ni vigumu kuyajua.... Namaanisha nini basi? Ni hivi, walavumbi Wa kiswahili hupenda maisha yao yajulikane kwa watu na kila wafanyacho hupenda wengine wajue tena hufanya bidii kubwa kujitangaza maisha yao binafsi....

Matokeo?? Matokeo hutaraji Sifa but si rahisi wote wakasifia chako wengine huponda ndio maana wastaarabu hupenda kuishi kivyao bila kutafuta kujua watu wawaza nini juu yake ...

Mswahili akipata khanga tayari abandika posters.... Akila nyama...akipanda ndege ..akioa....akinunua GARI yote matangazo swali ni je matangazo yanini?? Ili iweje??

Baada ya hayo nirudi kwa mleta mada je hayo aliyoleta kwenye public forum yanini? Yatamsaidia nini?

Mambo yake binafsi na wazazi yanamfaidia nini kusomwa hapa JF??
Angekaa kimya ingekuwaje? Ameanzisha mada akitegemea nini?

Mkuu hao walomponda na waliomsifu zote ni stahili zake hakuna haja ya lawama maana kayataka....

Halafu nyuzi nyingi maelezo yanatofautiana sasa Kama ujuavyo level za understanding ni tofauti Sana but swali kuu linabaki kaleta thread hii for what?? Watu wasichangie?? Kama ndivyo angeweka PM but kwa hapa alitegemea majibu tu....

Tunarudi kule kule kula nyama ukatangaza kwa watu wapo watakao kusifu unajenga afya na wapo watakaokuponda unaharibu PESA....

Nafikiri Kuveta kayataka hakuna haja ya wewe kuhoji inawasumbua nini watu wakati wanamjibu kwa matakwa yake......

MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO....

(ha ha sorry kuiba signature).....
 
Last edited by a moderator:
Mkuu utamwitaje mgonjwa mwenzio wakati anakupa full story juu ya Ulaya? au Una jotohasira na vumbii??
Angalia IP address yangu niko USA - Kansas State nimeishi hapa miaka 15 naona watu wanavyosota nchi hizi. Mwezi wa tisa mwaka huu nlikuwa East London Uingereza kikazi nimeona walivyochoka. Wagonjwa tu ndo wanaushabiki huo
 
Angalia IP address yangu niko USA - Kansas State nimeishi hapa miaka 15 naona watu wanavyosota nchi hizi. Mwezi wa tisa mwaka huu nlikuwa East London Uingereza kikazi nimeona walivyochoka. Wagonjwa tu ndo wanaushabiki huo

Aisee kumbe? Mkuu tusimulieni sie wala vumbi hatujui lolote linaloendelea mbingu ya 2 huko...

So tumefurahishwa na ndugu yetu Kuveta kukanyaga huko....

Mkuu mbona sasa mnapishana kauli wengine wasema raha tupu wewe wasema shida. ..

Hujaona hapo juu kauli ya Kuveta ati mamake anakalia makochi ya maana huko sio Kama vikochi vya bongo ndo nashangaa ulimwengu huu Wa utandawazi tunakosa vitu vya ulaya bongo??? Ha ha ha

Tutoeni tongotongo jamani
 
Last edited by a moderator:
Aisee kumbe? Mkuu tusimulieni sie wala vumbi hatujui lolote linaloendelea mbingu ya 2 huko...

So tumefurahishwa na ndugu yetu Kuveta kukanyaga huko....

Mkuu mbona sasa mnapishana kauli wengine wasema raha tupu wewe wasema shida. ..

Hujaona hapo juu kauli ya Kuveta ati mamake anakalia makochi ya maana huko sio Kama vikochi vya bongo ndo nashangaa ulimwengu huu Wa utandawazi tunakosa vitu vya ulaya bongo??? Ha ha ha

Tutoeni tongotongo jamani

Bwana asikudanganye mtu maana Bogo kuna watu wengi tu wana sofa nzuri. Huyo Kuveta inaonekana katoka kijiji Fulani cha Kigoma ya zamani na kaanza kukalia sofa mwaka huu akiwa UK. Anadhani maisha ya kijijini alikotoka ndo ya Tanzania nzima.
Well huku maisha ni mazuri lakini si kwa namna wanavyosimulia. Kukamilisha makaratasi, Kufanyakazi na baridi, kuhangaika na bills n.k nayo ni shida kubwa kuliko hizo raha. Pamoja na uzuri wowote uliopo wa kuwa na uhakika wa kupata mhitaji mhimu bado uwezi kupaona kwenu Jehanamu.
 
Uhakika hutokana na kujua. Sasa wewe uhakika wako wa matatizo ya jamaa umeutoa wapi? Unamjua? Kama unamjua, je, unayajua maisha yake mpaka utoe kauli kama hiyo uliyoitoa?



Msingi wa uhakika wako ni nini?
[MENTION]Masaopakyindi[/MENTION] huna haja ya kuijibu hii.
Hakuna mtu asiyeelewa simple logic.
Kama wewe Nyani Ngabu nawe ni mfanyakazi huko majuu, sana sana unauza nguvu zako.
Huwezi kuishi zaidi ha hapo, huna fursa za ujasiriamali, na kama alivosema mtu huko nyuma, maisha ni kuishi from pay check to pay check.

Rudini bongo mpate fursa za kujivunia kipato , in mega quantities, kama uko seriuos.
 
Last edited by a moderator:
Masaopakyindi huna haja ya kuijibu hii.
Hakuna mtu asiyeelewa simple logic.
Kama wewe Nyani Ngabu nawe ni mfanyakazi huko majuu, sana sana unauza nguvu zako.
Huwezi kuishi zaidi ha hapo, huna fursa za ujasiriamali, na kama alivosema mtu huko nyuma, maisha ni kuishi from pay check to pay check.

Rudini bongo mpate fursa za kujivunia kipato , in mega quantities, kama uko seriuos.

LMAO:becky::becky:

Kwa nini umesema sina haja ya kuijibu?

Kwa sababu unajua ulichoandika ni mavi ya ng'ombe.
 
Guys...i see! Kumbe humu kuna mvutano kati ya waishio mbelez na waishio home?
Sioni sababu ya kubishana hadi mishipa iwatoke. Kila mtu ana uhuru wa kuishi apendapo, kama mbelez unaona ni dili sawa....
 
Bi Mkubwa hawezi kutamani kurudi kwa sababu kaonjeshwa mtungo Wa Mzee Fowler yule jirani yako!
 
Asilimia kubwa ya utajiri wa nchi hii umeshikiliwa na wachache sana yaani ni chini ya 1%. Hao ndiyo wamefaidika na uchumi ulivyopanda. Wengine wengi maisha yao yamerudi nyuma au hayajabadilika sana. Na huko tunakoelekea maisha ya wengi yataendelea kuwa duni maana viongozi wetu hawana sera za kubadilisha huo mwelekeo. Tunaburuzwa tuu.
 
Sikulaum sana kwa kuwa safar zako ni Moro-DAR. Yan nakufananisha na samaki anaeishi majini bila kujua kinachoendelea duniani

Kama kweli, rudisha hao wazee huku wewe. Mwakani tunahitaji kura zao kwa mabadiliko endelevu.
 
LMAO:becky::becky:

Kwa nini umesema sina haja ya kuijibu?
A primitive man!
Kwa sababu unajua ulichoandika ni mavi ya ng'ombe.
Ni wewe huyo?
Mtu akianza kwenda negative katika ubishano, na anashindwa, huwa anarufi asili yake.
Pole mkuu, elimu haijakustaarabisha!
Hats ukiyakodolea macho hayo maghorofa majuu hutastaarabika.
 
Mkuu nina uhakika una matatizo, tena makubwa sana.
Kwa hali yako nina uhakika kuwa unaishi from paycheck to pay check, yaani ni mvuja jasho(kama lupo hasa wakati huu wa ubaridi).
Pamoja na kuishi maisha ambayo utayaona ni mazuri lakini naamini kwako ni abnormal life.

Kama una kabulubgutu ka kutosha rudi bongo na utaishi maisha hayo hayo na zaidi.
Vigezo unavyo jiwekea ya maisha ya huko, ati usafi, maziwa,usafiri n.k. Ni vigezo vya kitoto kidogo.
Hapa bongo ndalama ikikubali unaishi kama utakavyo, watu wana maisha hala bongo that you will only dream of huko ulaya.
Lakini waswahili wNasema dont wake a sleeping dog!

Mkuu achana naye, huyu kamaliza shule ya kata akaitwa kwenye harusi baasi kosa, maana huyu tunamwita limbukeni. Unakumbuka miaka ileee tulikuwa tukifika Dar na ukapiga picha sheratoni hotel basi mkoani hawasemi ukirudi, kwa hiyo huyu jamaa ana tabia hz za ulimbukeni
 
Wadau mlioko nje baadhi yenu huwa mnanishangaza sana kwa mabandiko yenu humu. Mfano ni huyu mleta mada, anasema amekaa huko miaka 15,hii ina maana ni kijana wa miaka zaidi ya 30 lakini ona hoja zake..mara wazee wanakalia makochi mazuri, ooh hawachafuki kama huku, mara wanakunywa maziwa..blah blah.! Hoja za kijinga kbs ambazo kwa uhalisia zingetolewa teens wa hapa nyumbani tena wa huko mashambani.

Wengine utaona wanabishana mambo ya ajabu mpaka kutoa na address pamoja na code za sehemu wanazokaa kudhibitisha wako nje. Jambo ambalo halina mantiki kabisa. Sasa huwa ninajiuliza, IQ za vijana walioko(baadhi) huko ziko chini kuliko za hawa walioko nyumbani au ni kitu gani haswa?!
 
Hao watu mimi wala hawanipi shida tena. Nimeshawazoea sana na hakuna lolote wanalonizidi.

Wameifanya kuwa ni kazi yao kuja humu na kujifariji hali zao ngumu za maisha kwa kuponda wabeba maboksi.

Kipindi hiki cha joto wengi wao wanakuwa na #JotoHasira kwa sababu hawana viyoyozi kwenye nyumba zao za kupanga wanakoishi. Wengine wala hawana nyumba bali wamepanga vyumba tu huko uswekeni lakini ndo wa kwanza kwa kidomodomo.

Waishukuru JF kwa kuwa outlet ya wao kutolea hasira zao.

Hahahahahaha...Bingwa kuna homeboy flan alikuwa anafananisha Jua la Bongo na Baridi ya Ulaya. Nkamwambia tuchukulie Jua la Bongo ni Moto mana kali kwelikweli, na Barid ya Ulaya ni Barafu mana nayo kali kwelikweli. Sasa wakikwambia wakutupe kati ya kwenye moto na balafu utachagua wapi?..Akasema loh si bora untupe kwenye balafu mara 100, kuliko motoni mara moja. Nkamwambia unaona sasa tofauti ya Joto na Barid? Huwez kushindwa kwenda kuishi kwenye nchi zenye fursa ya maisha et kisa kuna barid, homeboy akanielewa na kunambia atapambana na yy asogee mbele!
 
Wadau mlioko nje baadhi yenu huwa mnanishangaza sana kwa mabandiko yenu humu. Mfano ni huyu mleta mada, anasema amekaa huko miaka 15,hii ina maana ni kijana wa miaka zaidi ya 30 lakini ona hoja zake..mara wazee wanakalia makochi mazuri, ooh hawachafuki kama huku, mara wanakunywa maziwa..blah blah.! Hoja za kijinga kbs ambazo kwa uhalisia zingetolewa teens wa hapa nyumbani tena wa huko mashambani.

Wengine utaona wanabishana mambo ya ajabu mpaka kutoa na address pamoja na code za sehemu wanazokaa kudhibitisha wako nje. Jambo ambalo halina mantiki kabisa. Sasa huwa ninajiuliza, IQ za vijana walioko(baadhi) huko ziko chini kuliko za hawa walioko nyumbani au ni kitu gani haswa?!

Ikiwa ulichoandika kinafanana na akili yako, basi wahi mapema kwa doctor kabla hujaanza kuvua nguo na kuokota makopo...Hivi mtu akiishi nje na akaelezea mafanikio alioyaona au kuyapata huku ambayo nyumban hayapo, na pengine hayatokuwepo kabisa kuna ubaya gani? Eti vijana wa namna hii ndo mnataka muwe viongozi wa Taifa la Tanzania!
 
Mkuu achana naye, huyu kamaliza shule ya kata akaitwa kwenye harusi baasi kosa, maana huyu tunamwita limbukeni. Unakumbuka miaka ileee tulikuwa tukifika Dar na ukapiga picha sheratoni hotel basi mkoani hawasemi ukirudi, kwa hiyo huyu jamaa ana tabia hz za ulimbukeni

We mwe.hu em tulia upate tiba ya mawazo, ili kesho ikusaidie kutoka ukaishi kwenye nchi zenye fursa ya maisha km mm...Kumbuka we ni mgonjwa, na mgonjwa siku zote huwa hachagui dawa wala doctor. Kwahiyo geuza ta.k.o nkutie sindano ulale, ili uache kelele na kero kwa wagonjwa wengine wa aina yako humu jukwaani eboo!!!
 
Back
Top Bottom