Bill Gates anywa maji ya Kinyesi

B.. hivi haya maji yakija huku na nnavyokujua kupenda vya ulaya,, utayaacha kweli B wangu??????? Na tumbo lako lilivyo bovu... Sijui wat next B...

na nikienda supermarket nasema naomba water badala ya maji alafu nikinywa nasema ooh my gush so nice
 
Maji yote yalishawahi kuwa kinyesi cha fulani at some point. If you really want to get to the nitty gritty.

The world is one big recycling plant.

Unapokufa, maji yaliyo katika kinyesi chako yanaingia ardhini na kuingia katika water table, yanaenda kwenye visima na mito, tunakunywa hayohayo.

Ukiwa huelewi hili tu ndiyo unaweza kumshangaa Bill Gates.

Tena hayo anayokunywa Bill Gates yanaweza kuwa masafi kuliko maji wanayokunywa Watanzania wa hali ya kati.

Kwa maana ya kwamba maji wanayokunywa Watanzania wa kawaida yanaweza kuwa na bacteria kibao, mpaka wa cholera, wakati hayo maji yaliyochujwa kutoka kinyesi anayokunywa Bill Gates yameondolewa bacteria wote, yamebaki safi.

uko sawa kaka, kudos! Hofu yangu ni kwamba kuna dini itasema haya maji ni NAJISI kupitia fatwa

just thinking out loudly
 
Haya maji yatapendwa sana na MABASHA a.k.a MAMENDE , MUKAKA , WALAJITIGO !
 
Windhoek, Namibia; zaidi ya asilimia 40 ya maji salama yanatokana na maji ya chooni. Kuna sehemu wana bwawa na mtambo wa kusafishia.

Mmmmh, kwani huyu baba. Bado ni mmiliki wa Microsoft corp?
Asha drop hata u chairman na ka liquidate his most shares

mavi kumbe yana matumizi mengi

kutoka kuzalisha gas na baadae umeme

kuja kwenye gongo

na sasa maji ya kunywa

Kiu ni kiu tu lazima ikatwe, ila kwenye chupa wasiandike wala mtu asiniambie hayo maji yametokana na kinyesi.

Teknolojia safi sana...ila anamoyo kuona kabisa kinaingia kinachujwa kinatoa maji aisee duh mi ningeanza kuumwa kabla ..

Mbona yana unjanonjano

Mhhh. mbona kama anayasikilizia? Yana ladha ya udambwi dambwi nini?

Mmmh wanywe wenyewe tu
 
duuuh!!! naemagine ningekuwa ndio nimeshuhudia hiyo process mpaka yakawa maji alafu naambiwa onja!!!! aisee walaa nicngebaki eneo hilo

hivi na chupa zitaandikwa maji yametokana na nn km maji mengine??? maana duuh!!
 
Hapo mmegusia kitu cha umeme,itapigwa vita gharama za uendeshaji ni kubwa mno ,wakati wao wanatumia magari yanaokula mafuta mno ,kwa kuwa obey,upanga,masaki maji yanamwagika 24/7 watu wa tabata,kimara,na maeneo mengine ya nchi hawatapewa kipaumbele,ili dawasco isife itabidi mitambo hiyo ipigiwe zengwe hata kama darwasco inaonekana kuelemewa na idad ya watu wanahoitaji huduma toka kwao,Wasofikiria wenzao nawaona wakisimama wazi wazi wakitumia mamlaka yao kuelezea gharama kubwa sana kuziendesha hizi mashine bila kukumbuka kupitia magar yao ya maji wanamuuzia mtanzania dumu moja 500-1000Kina bill gates wanatuwazia namna ya kutupunguzia ugumu wa maisha,lakin wasimamizi wetu wanawaza watuumize vipi kila kukicha( bei ya mafuta imeshuka duniani tanzania bado ile ele).SHIKAMOO EDDO KUMWEMBE.

Uongozi mbovu wa sisiem umeoza. mambo yatakua safi kuanzia mwakan wakiingia viongoz wanaojielewa tz
 
hayo maji hata mimi ntakunywa, afu ni salama zaidi kuliko maji mengi ambayo watu wanakunywa mitaani..
 
Wakileta bongo tutaacha kufungulia vyoo nnya wakati wa mvua hasa ubungo tutapigana kwa ajili ya kutunza nnya ili tupate maji
 
Back
Top Bottom