Willie,
Kwa mara ya kwanza leo umechangia kishujaa, au kuna mtu ameiba ID yako...(si na maana ya kukandia posti zako)..chukua thanks..:music:
Vipi utarudisha kadi ya kijani lini?
Salimia huko Dom..
No comment
Kwa hiyo yeye ni BIG TAX PAYER HAPA TANZANIA? Forward Hotuba yake TRA ili wakakusanye mapato ya kodi ya mapato
dah,yani kawaita dowanz wameharibu,anaita ndege
ikiwa alishiriki kuleta kampun ya kitapeli. Dowans. Bado anatafuta nyingine waje watumalizie kabisa.kwao pakstan wangeshamfanya k2 mbaya
Jamaa ana jeuri sana dah
Asante RA kwa kutuambia ukweli. kuna mtu siku moja aliwahi kusema kuwa uchumi wa nchi hii uko mikononi mwa familia 9. Kwa hiyo uwezekano wa RA kukusanya mapato zaidi ya TRA ya Tz siyo kitu cha ajabu. Kama asingekuwa na fedha hizo asingeweza kununua serikali ya Tanzania.
Hatuna sababu ya kumlaumu RA kwa sababu katuambia ukweli bali tupiganie kuhakikisha kuwa nchi hii inakuwa na serikali iliyo huru na inawajibika kwa wananchi siyo kwa watu kama RA