Bila woga Askofu aivaa Serikali kuacha kuonea Wapinzani, kisa wabunge kupigwa hadi kulazwa

We umeshaona uhalifu wa binadamu unavyokuwa jomba..acha bana utani..ujinga huo...eti nguvu ya pamoja, na kina Nani hao...viongozi wenu wenyewe wengi wametenda kuunga mkono juhudi za Mh. Rais...upo..? Utabaki wewe tu na Mwenyekiti wako
Mwenyekiti wangu ni nani?JF imevamiwa na wapuuzi sana!Huwezi kustick kwenye hoja,unaishia kunipa majina nisiyostahili!
 
Askofu wa kanisa la CHADEMA
Nilitamani maneno haya ya kiongizi wa dini yangetamkwa na Viongozi wa Madhehebu yangu pia, bali hawathubutu kwa kile wanachosema kuwa wapo kwenye subra. Hata hivyo dua ya Mh. Askofu naamini itawafikia viongozi wetu kwa vile nao hupenda kusema wanamtegemea Mungu.

Mh Mbowe umeongea machache but so deep, umejaaliwa ufasaha, hekima na busara.




Mungu azidi kukubariki.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Public figure ni wachache nchi hii.usidhani kila raia ana utashi wa kusimamia na kupinga hadharani maovu ya serikali though wengi tunachukizwa na matendo ya serikali. kelvin marcus,
Sio habari ya public figure mkuu ..wewe ni mmojawapo unayechukia matendo maovu yanayoendelea nchini ...vipi umechukua hatua gani?

Au ndio tunarudi palepale tatizo letu ni uthubutu ..tunategemea watu wengine watupiganie afu tuje huku na fake ID tuanze kukazia kwa comments za kuwasifia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitamani maneno haya ya kiongizi wa dini yangetamkwa na Viongozi wa Madhehebu yangu pia, bali hawathubutu kwa kile wanachosema kuwa wapo kwenye subra. Hata hivyo dua ya Mh. Askofu naamini itawafikia viongozi wetu kwa vile nao hupenda kusema wanamtegemea Mungu.

Mh Mbowe umeongea machache but so deep, umejaaliwa ufasaha, hekima na busara.




Mungu azidi kukubariki.

Huyu Askofu ana imani Thabit kweli kweli. Huyu na Bagonza ndio wanaofanya kazi na utume wa Kinabii na kazi ya Mungu. Hawa wanajua thamani ya Uhai.
 
Achana na wakatoliki wa siku za leo hawana jipya. Mimi nilipoona Askofu Pengo anapingana na maamuzi ya Hekima ya Umoja wa maaskofu nchini wakati ule ndipo niliacha kwenda kwenye majengo ya kikatolili eti ni makanisa. Nilibatizwa nikiwa na miaka 15 ndani ya katoliki najua mafundisho vyema. Lakini kitendo cha kutoonesha kujali Uhai na amani kwa vitendo kilinivunja moyo.
Kanisa langu Katoliki lilifanya unafiki mkubwa ndani ya Kanisa.

Nilishangaa sana kumsikia Padre mwenye mamlaka makubwa katika Jimbo Kuu, akitamka kuwa, 'tulikuwa hatuna namna nyingine ya kuwa karibu na Serikali, zaidi ya kumchagua Askofu Nyaisonga kuwa kiongozi wa TEC kwa sababu huyu n!i rafiki binafsi wa Rais'.

Unajiuliza, unapokosa kumchagua mtu kwa merit, unakuwa bado umesimama na Mungu wa kweli au umeamua kuitumikia Duniani? Mbona akina Petro, Sila, Paulo, walikubali kufungwa na watawala kwaajili ya kusimamia haki badala ya kuungana na watawala ili wale mema ya nchi?

Chini ya Askofu Nyaisonga, hata Serikali ifanye uovu kiasi gani dhidi ya Raia, kamwe hamtakuja kusikia karipio lolote toka TEC. Kanisa limecompromise na Serikali kwa gharama ya haki za wananchi.
 
natamani corona ikiwa inaingia tz ianzie pale kivukoni kuja huku.





Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilitamani maneno haya ya kiongizi wa dini yangetamkwa na Viongozi wa Madhehebu yangu pia, bali hawathubutu kwa kile wanachosema kuwa wapo kwenye subra. Hata hivyo dua ya Mh. Askofu naamini itawafikia viongozi wetu kwa vile nao hupenda kusema wanamtegemea Mungu.

Mh Mbowe umeongea machache but so deep, umejaaliwa ufasaha, hekima na busara.




Mungu azidi kukubariki.

Njaa inamsumbua tu huyu ndugu eti anajiita askofu ,askofu wa kujisimika mwenyewe na hako kakanisa kake ambako hata kalipo hakajulikani,huyu ni mpenda kiki.
 
Wimbo wangu ni huu,

"CCM KUPITIA KWA KATIBU MKUU IMEDHIBITISHA KUWA INATUMIA VYOMBO VYA DOLA KUBAKI MADARAKANI"

Mahakama, Polisi, idara ya Watu wasiojulikana, Tume ya uchaguzi, wizara ya mambo ya ndani, Jeshi na vyombo vyote vya serikali, Bunge na vingine vyote vimepangwa kuipigania ccm ibaki madarakani. Kutakuwa na kutishwa, kupigwa, kuwekwa ndani, kuzuiwa kusema, kutekwa, kubambikiwa makosa ya uhujumu uchumi, mikutano kuzuiwa kutaendelea na maovu mengine ya vyombo vya dola dhidi ya vyama vya upinzani. Wimbo wangu huu utapata waimbaji wengi kadri tunavyoelekea uchaguzi. Wimbo huu utaimbwa hadi jumuia ya kimataifa itasikia.

Mateso hayatakoma bila ccm kuondoka madarakani kwani ndiyo inayoamuru wapinzani wateswe. Huu ni mchezo ambao hana tena fair play. Refarii na Kamisaa wote wamejiunga na timu tawala dhidi ya timu pinzani. Siasa za wapinzani kuomba ccm iwape haki ni bure. Wala kudhani kuwa dola inataka kutenda haki ni bure kabisa.

Polisi watawapiga tu sana, majaji walio makada watawafunga tu sana. Haki haiombwi. Tumieni nguvu ya umma kukomboa taifa lenu. Imbeni huu wimbo, aminini ujumbe wake, badilisheni mbinu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo huu unahitaji 'chorus', tumwite nani fundi wa tungo za 'chorus'!

Erythrocyte, upo? Tupe 'chorus' tupo tayari kuimba.

Huu wimbo unaeleweka, na ni wimbo maridhawa kabisa!
 
Kanisa langu Katoliki lilifanya unafiki mkubwa ndani ya Kanisa.

Nilishangaa sana kumsikia Padre mwenye mamlaka makubwa katika Jimbo Kuu, akitamka kuwa, 'tulikuwa hatuna namna nyingine ya kuwa karibu na Serikali, zaidi ya kumchagua Askofu Nyaisonga kuwa kiongozi wa TEC kwa sababu huyu n!i rafiki binafsi wa Rais'.
Ninayo kumbukumbu ya taarifa hii ulipoiwasilisha hapa jamvini kwa mara ya kwanza na kwa hakika hata nami ilinisikitisha sana kwa kanisa kuwa na msimamo wa ajabu sana kama huo.

Baada ya kulifikiri hili kwa kina nikaanza kuwa na mawazo chanya juu yake:

Wahenga husema, "A friend in need is a friend indeed".

Najua zipo methali za aina hii katika kiswahili, lakini kwa sasa sikumbuki; labda hii ambayo ni kinyume na hiyo hapo juu;

"Ndege wafananao..."

Wazo langu la mwanzo baada ya kuyatafakari hayo ambayo mkuu 'Bams' kayawasilisha kuwa yalisemwa na padre ndani ya kanisa ni kwamba huo ndio ungekuwa mkakati mzuri kwa kanisa Katoliki; kumfikia huyu mtu kirahisi kupitia kwa rafiki yake.

Kumtumia rafiki yake kumpa mhusika ukweli ulio wazi bila ya kupindishwapindishwa.

Hivi tunaelewa maana ya kuwa 'marafiki', au ni urafiki wa kilabuni?

Rafiki wa kweli hutoa ushauri bila kupepesa macho, kwa sababu huyo rafiki, sehemu nyingi ni mtu mhimu sana hata kuliko ndugu

Huyo, nani, Askofu Nyaisanga(?) ndiye angekuwa mtu sahihi zaidi wa kumbadili huyu rafiki yake kwa kumpa ukweli mkavu kuhusu anavyoliyumbisha taifa hili... huko wakiwa faraghani kwao wanakokutana katika mambo ya urafiki wao.

Lakiiini..., kuna huo msemo wa pili, huo wa Kiswahili, unaohusu ndege wenye manyoya yafananayo...!.

Hawa watu kuwa marafiki, si ajabu urafiki wao unatokana na kufanana kwa tabia zao.

Kwa hiyo Nyaisanga badala ya kutoa ushauri wa kupoza mambo na kurekebisha ndiye anayeweza kuwa anachochea moto uwake zaidi toka kwa rafiki yake, hata kumzidi Pengo na ndugu yake Mtoto wa Mkulima.

Kanisa watakuwa wamekosea sana kwa kumchagua Nyaisanga, na hili litaondoa mategemeo ya wengi juu ya kanisa Katoliki na kupoteza heshima lililojijengea kwa mda mrefu.
 
Njaa inamsumbua tu huyu ndugu eti anajiita askofu ,askofu wa kujisimika mwenyewe na hako kakanisa kake ambako hata kalipo hakajulikani,huyu ni mpenda kiki.
Kanisa za kujulikana ni za CCM? Watoa sadaka huko wote ni wana CCM?
 
Yule aliyesema ataifuta chadema, ACT ijieleze kwann isifutwe ,aliyekuwa Swaiba wa Le profesele uswaiba ukakoma baada ya Le profu kulamba garasa.
Jaji mtungi na Lipumba siku hizi hawaivi baada ya Lipumba kumdhulumu pesa aliyomwahidi baada ya kumsaidia kuipora cuf
 
Back
Top Bottom