Bidhaa za China na Amerika

ruhosho

Senior Member
Jan 5, 2020
104
166
Naomba mwenye ufafanuzi wa uchumi kati ya china na Amerika maana kila siku naskia Amerika inaongoza kiuchum.

Nikirudi nyuma zamani tulikua na baiskeli za fonex zimefanya vizuri sokoni na ilikua mali ya China sasa hivi ukiingia sokoni kila mali ni made ini China.

Kiukweli za Amerika sizioni nikiingia kwenye simu nikiitoa iphone mali zilizobaki nyingi ni china sasa hapo ndo nawaza inakuaje america amzidi mchina hapo kwenye mabasi sijagusia.
 
Vitu vya West avinunuliki ni bei mbaya Sana. west Wana Mali kweli sio hizo lonya za kichina tatizo la machina ni copyright yanapenda forgery Sana.

Kwa mfano yaliletaga zile simu za TV hapa bongo harafu eti inauzwa laki kweli kabisa.......MTU atengeneze technology ya bei Mbaya aiuze laki.
 
Kwa uelewa wangu aneuza bidhaa za kila mtu aguse uchumi wake unapanda haraka mali zake zinatembea sana sokoni.

Mfano mdogo weka jezi OG za simba au yanga pisi nne nne nami niweke feki za simba au yanga niweke pisi 20 moja kwa moja feki 20 zinaisha kabla hizi OG nne hazijaisha.

Au zamani tulikua tunaona bus za marcopolo lakini mchina kafuta kabisa sasa hivi ni yutong vipi hapo uchumi wa china unapanda au hupandi usijibu kwa hisia wala matusi maana kuna mtu bila kutukana anahisi hajajibu
 
Sema twende mbele turudi nyuma japo mchina vitu vyake ni fake lakini katuokoa mnooo vinginevyo ilikua ni balaa zito
 
Unahisi hizi bizaa za china ulaya hawazitumi? Vp kuhusu phonex baiskeli si nizachina lakini watu walikua nazo au kipi umesahau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom