Anatakiwa aote ndoto ya kuwatibu samaki wa ziwa victoria wanaoteseka na kufa kwa sababu ya magugu naji na uchafu wa jiji lake la mwanza...!!
Roho ya ndoto za kutibu magonjwa sugu imeendelea kutenda kazi baada ya bibi mwingine hii leo kujitokeza huko Mwanza. Habari hizi nimekuta zinafikia mwisho hapo WAPO FM.