Biashara za "Nunua au Niagize China" na makampuni ya cargo China hazina uhalisia

sportstore

JF-Expert Member
Apr 5, 2023
453
1,609
Usidanganyike sana: Unafuu unaweza ukawepo lakini si bidhaa zote.. imagine hapo mtu yuko China anasema bidhaa hii utapata kwa 25,000 tu.. na kwa makusudi KABISA muuzaji huyo anajua gharama ya usafiri either anawaambia kiasi kidogo au hawaambii kabisa. Yaani mpaka mzigo unafika Dar unajikuta jumla umetumia karibia 55,000 na umesubiria miezi 2 hadi 3 au kwa ndege wiki 2 na wakati hiyo bidhaa dukani inaweza kuwa 65,000 tu bila usumbufu wowote.

Kingine makampuni ya cargo yaache uongo yote hakuna cha silent ocean etc.. maana wanavyojitangaza na uhalisi ni vitu viwili tofauti.. wanasema mzigo ni mwezi mmoja tu kwenye matangazo yao lakini kiuhalisi ni miezi 3. Imagine mzigo umesafiri kutoka china October 18 makadirio ni meli kufika November 13 lakini mpaka hii leo January 4 bado mizigo haijatoka wanakwambia iko bandarini na hao ni kampuni kubwa silent ocean.. So wanachokihubiri ni tofauti na uhalisi.
 
Usidanganyike sana: unafuu unaweza ukawepo lakini si bidhaa zote..imagine hapo mtu yuko china anasema bidhaa hii utapata kwa 25,000 tu..na kwa makusudi KABISA muuzaji huyo anajua gharama ya usafiri either anawaambia kiasi kidogo au hawaambii kabisa ..yaani mpaka mzigo unafika Dar unajikuta jumla umetumia karibia 55,000 na umesubiria miezi 2 hadi 3 au kwa ndege wiki 2 .na wakati hiyo bidhaa dukani inaweza kuwa 65,000 tu bila usumbufu wowote..

Kingine makampuni ya cargo yaache uongo yote hakuna cha silent ocean etc..maana wanavojitangaza na uhalisi ni vitu viwili tofauti..wanasema mzigo ni mwezi mmoja tu kwenye matangazo yao lakini kiuhalisi ni miezi 3 ..imagine mzigo umesafiri kutoka china October 18 makadirio ni meli kufika November 13 lakini mpaka hii leo January 4 bado mizigo haijatoka wanakwambia iko bandarini na hao ni kampuni kubwa silent ocean..so wanachokihubiri ni tofauti na uhalisi.
"...sijibu meseji isiyo na muamala..."
 
Alibaba
Aliexpress
Ebay
Amazon

Naona ni ujinga mkubwa kununua AU kuagiza bidhaa mtu alieenda China wakati App za Ecommerce zipo tena Usalama 100%..Tena unaChat na Mhusika direct..Je ni ujinga au ni kitu gani kinawafanya mnunue kwa hao watu ambao bidhaa zikifika Mnapigwa kalenda kisha kukimbilia kwa MANGE kulaumu
 
Kuanzia mwezi wa 9 kulikuwa na mrundikano mkubwa sana wa meli bandarini hivyo mizigo ilichelewa haswa, na bad thing uwe na lose cargo ndio utalia zaidi, wa makontena ni rahisi na gharama pia ndogo.
Hao watu wanaoenda China kuharibu biashara za watu kila kitu kina mwanzo na mwisho, hata hvyo wateja na hawana akili vzr ya cost analysis
 
Kuanzia mwezi wa 9 kulikuwa na mrundikano mkubwa sana wa meli bandalin hivyo mizigo ilichelewa haswa, na bad thing huwe na lose cargo ndio utalia zaidi, wa makontena ni rahis na gharama pia ndogo.
Hao watu wanaoenda china kuaribu biashara za watu kila kitu kina mwanza na mwisho, hata hvyo wateja na hawana akili vzr ya cost analysis
Mbongo akishaambiwa elfu 5 hajui kuna gharama nyingine zimefichwa, siku mzigo ukifika anaambiwa atoe elfu10 nyingine ya usafiri.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Alibaba
Aliexpress
Ebay
Amazon

Naona ni ujinga mkubwa kununua AU kuagiza bidhaa mtu alieenda China wakati App za Ecommerce zipo tena Usalama 100%..Tena unaChat na Mhusika direct..Je ni ujinga au ni kitu gani kinawafanya mnunue kwa hao watu ambao bidhaa zikifika Mnapigwa kalenda kisha kukimbilia kwa MANGE kulaumu
Unaweza kuzitaja hizo app za eEcommerce
 
Back
Top Bottom