Biashara ya viatu mitumba ladies

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,279
2,733
Wakuu niaje,mko poa...mi mafanya biashara ya ladies shoes na mikoba,niko location mwanza.nilianza kwa kukata baloo za viatu mwenyewe na pochi,kwenye viatu nilikuwa nafungua grade number moja ila open ladies wanasema grade ila ilikuwa ya kawaida,nibiashara nimefanya kwa mda kidogo.issue yangu nikutaka kujua niwapi ntapata ladies shoes grade kabisa ila Kali,iwe open,hills,simple Mtumba,napia niwapi ntapata vihandbags vya wadada nainai,maana huku balo la nainai tu sijaona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom