Mambozzzz washkaji
Kwa anayejua hili suala naomba anielimishe. Nataka nianzishe biashara ya mchanga, nikimaanisha nataka kutafuta eneo mahali halafu niwe nauza mchanga kwa makampuni ya ujenzi. Wanakuwa wanaleta malori yao na kuchukua mchanga na kunilipa. Hii inafanyikaje?
Kwa anayejua hili suala naomba anielimishe. Nataka nianzishe biashara ya mchanga, nikimaanisha nataka kutafuta eneo mahali halafu niwe nauza mchanga kwa makampuni ya ujenzi. Wanakuwa wanaleta malori yao na kuchukua mchanga na kunilipa. Hii inafanyikaje?