Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

Asante mkuu. Kabla ya kuja nilitaka kupata japo muhtasari, kwa uzoefu wako, ni upande gani hasa unalipa elution plants au uuzaji vifaa kazi. Japo muhtasari kwa faida ya wote jukwani.
Biashara ya elution plants ni brand Kama unavyosikia ITV, CLOUDS etc....yaani Kama huna jina hamna biashara....elewa huku ni wasukuma wakisikia zile mashine wanaweka steel wire Kwny pipe ,yaani wanakukimbia Mara moja hata uwaambie unachoma mzigo bure.....walioanza wametangulia waache wazipige...ila ni biashara yenye kula hell kirahisi sijawahi kuona...fikiria Kuna mtu Ana mashine 5 na zote zinakula mzgo Kila siku kwa wiki,each mashine ni 1.2-1.5mil
Kwa siku anaingiza 6mil kwa wiki 42mil
 
Biashara ya elution plants ni brand Kama unavyosikia ITV, CLOUDS etc....yaani Kama huna jina hamna biashara....elewa huku ni wasukuma wakisikia zile mashine wanaweka steel wire Kwny pipe ,yaani wanakukimbia Mara moja hata uwaambie unachoma mzigo bure.....walioanza wametangulia waache wazipige...ila ni biashara yenye kula hell kirahisi sijawahi kuona...fikiria Kuna mtu Ana mashine 5 na zote zinakula mzgo Kila siku kwa wiki,each mashine ni 1.2-1.5mil
Kwa siku anaingiza 6mil kwa wiki 42mil

Hapa Manzese Kuna elusion tunajazana balaa😛😛..but naamini ukitoa majibu murua utapata wateja tu
 
Biashara ya elution plants ni brand Kama unavyosikia ITV, CLOUDS etc....yaani Kama huna jina hamna biashara....elewa huku ni wasukuma wakisikia zile mashine wanaweka steel wire Kwny pipe ,yaani wanakukimbia Mara moja hata uwaambie unachoma mzigo bure.....walioanza wametangulia waache wazipige...ila ni biashara yenye kula hell kirahisi sijawahi kuona...fikiria Kuna mtu Ana mashine 5 na zote zinakula mzgo Kila siku kwa wiki,each mashine ni 1.2-1.5mil
Kwa siku anaingiza 6mil kwa wiki 42mil

Nimekupata mkuu. Asante sana
 
Inbox me
USER_SCOPED_TEMP_DATA_orca-image--421580960.jpg
 
Kiukweli kule ujitoe tu ufahamu kama huna mtaji! Kazi zipo ila za kutumia nguvu..esp kuosha unga...kuchenjua dhahabu(hapa lazima ujifunze kwwli kweli) na ni ngumu mtu kukupa tope lake umchenjulie..wanaiba sana hapa kwa kuchenjua .
Kazi nazoona wanafanya zaidi kina kaka wasio na .mtaji ni kupiga moko(kuzamaa huko chini kupiga mwamba) ni kazk ngumu kiukweli...ila ukibahatika ukatoka na kajiwe uongo! Mistake za kule ni zile zile .kwasababu kazi ni ngumu bas mtu akipata hela anatumia hovyo sana!

Kuosha unga ni 2000@ mzunguko mmoja...mzunguko mmoja unaweza chukua ndoo zile ndogo 5-8!inategemeana na ukubwa wa ile machine(crusher )na inaweza zidi pia kidg..so unga ni mwingi kiukwel..sasa vibarua ni hela ya kula tu..mayb uombe uoperator na mkubaliane mlipane mkishauza kifusi...hapo makubaliano ni yenu wewe na mwajiri wako! Bt haizid 500k had kaz kufunga!

Mie nachoamini pia ni bahati!.kuna dogo ndugu yangu alifika kule mwaka 2017! Akitokea chuo ...alifika hana kitu..akaomba kwa mzee 200k! Leo hii kila miezi miwili ana faida ya kuanzia 6-8m!so alianza na , 200k akinunua mawe ya bei ya chini(fello)..akapanda had kumiliki crusher! Means akianza leo 14th kazi anafunga 14july anauza kifusi yy hana mpango na plant kbs.faida ndo hizo 6-8m! Ikigoma sana 4m.. Kule naona wasomi kama wanatoka mapema eti!...mradi uwe serious na usmart fulani!

Na ukitaka kufanikiwa mapema nenda kwenye mgodi ulolipuka ...sio mgodi uliodormant!..!
Mkuu fafanua hapa ktk Crusher ,ndugu yako akianza 14th kazi anauza 14 july hii ni baada ya muda gani anauza lundo, na mgodi/maeneo yapi?
 
duh! anasaga mifuko mingapi per day, na anaopoa kila baada ya muda gani? ninmevutiwa kujifunza, kwani nataamani kongeza nguvu ktk mwalo. Na lundo la mwezi anauzaje?
Zaidi ya 15 per day
Anaopoa every 4-5dys
Mara ya mwisho alitengenza Cha 8m aliuza 19m!na hajawahi fikiria kwenda plant hata siku moja!
 
Back
Top Bottom