Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 687
- 1,360
Yaani biashara ni rahisi sana kwa kuongea na kwenye maandishi, wakuta mtu ananunua na kuuza na kupata faida kwa muda maalum kabisa kwa maneno yaani utazani ni one way hadi kufanikiwa.
Nawasihi tuu kwa wanaoanza from beginning hasa vijana waliokosa ajira na kulazimika kufanya biashara, biashara ni maisha fanya kama daily routine usiwe na matarajio makubwa sana wala usiifanye kimazoea.
Nawasihi tuu kwa wanaoanza from beginning hasa vijana waliokosa ajira na kulazimika kufanya biashara, biashara ni maisha fanya kama daily routine usiwe na matarajio makubwa sana wala usiifanye kimazoea.