Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

Hii biashara inaonekana kuwa na changamoto nyingi, m naona n bora kufanya business nyingne kuliko kuzika pesa zako! Asanteni kwa washauri mliotoa precaution
 
Maisha Yanga mbinu nyingi...chamsingi ni kuchakalika tu. Asante mleta Uzi na wachangiaji wa Biashara ambayo Nilikuwa hata sijawahi ifikilia kuwa inalipa. One day yes.
 
bado una itaji dagaa wa mwanza... mimi nauza kwa kg. na samaki wa mwanza wabichi au wakavu au wakukaanga
wa bukoba wako juu kwa bei ya kuwanunua na kuwauza maana hawana mchanga,Musoma pia wanafata mwisho wa mwanza maana wana mchanga sana.Bei pia hutegemea na soko la sehemu husika...watu wa pale wanapenda dagaa wa wapi haswa...

una hitaji?
 
Niliwahi fanya hiyo biashara ni biashara kichaa
Nilikua nikichukua mzigo Nkome Geita naleta Dodoma lakini ilinikata sana
 
Mimi naitaji msaada naitaji kisafilisha dagaa Mwanza to Dar,je kuna ushuru wowote natakiwa kulipia?,msaada wenu ndugu zangu tafadhali.
 
Naitaji kuanzisha biashara ya dagaa Zanzibar. Nataka kutoa Zanzibar kuleta dar kikubwa naomba muongozo
 
Habari wadau!

Naomba mtu mwenye uzoefu katika kuuza dagaa kwa jumla (hasa kanda ya ziwa) anipe uzoefu wa biashara hiyo, ikiwa ni pamoja na kujua upatikanaji wa dagaa, maeneo ambayo dagaa nzuri zinapatikana, soko na changamoto za biashara hiyo.

Natanguliza shukrani.
 
Very good tunataka vijana wasio wachoyo wa mawazo km ww,japo nakushauri sahau mambo ya ajira bro komaa upate mtaji wako ujiajiri huku kwa moto halafu full manyanyaso.Songa mbele Dogo.
 
Habari za asubuhi wakuu?

Naomba kufahamishwa aina ya hii ya dagaa kutoka kigoma inafanyikae kwa upande wa huko?

Hali ya soko lake iko kwa sasa? Bei yake kwa kuanzia ngazi ya gunia moja kwa huko kigoma na mpaka kuja kuuza miji mikubwa kama dar es salaam, mwanza, tanga na mikoa mingine, bei zake zikoje na hali ya soko kiujumla ikoje wadau?

Ahsanteni!
Dagaa wa kigoma bosi sio biashara ya kuanzia coz wana bei Kali sana yawezekana hata mara2.5 ya bei ya nyama so km ndo unaanza jaribu wa mwanza kwanza
Poleni na majukumu wadau,me naomba kwa yeyote mwenye uzoefu wa biashara ya dagaa (wakavu) wa mwanza kupeleka dar,naomba kujua gharama za kununulia kwa wavuvi,gharama za kuwakausha pamoja na usafirishaji,soko lake na mtaji wa kuanzia na yote yanayohusu biashara hii.
Natangulza shukrani



================================================

MAJIBU KUHUSU BIASHARA
============================================
 
Mie nauza dagaa wa kukaangwa kutoka mwanza
Wasio na mchanga
Pakti sh 1000
Jumla pakti kuanzia 50 kila pakti sh 800
Ndoo ya lita 20 sh 60000
Nipo dsm 0714943735
Pia biashara hii kwa sasa inachangamoto sana
Mfano kule mwaloni wamepandisha bei sana
Pia kuna kodi ya ushuru
Kibali cha maliasili si chini ya laki 3
Na leseni ya kusafirishia mzigo si chini ya laki 3
Lakini ukiwa na mtaji wa maana faida ipo

Karibuni
 
Mie nauza dagaa wa kukaangwa kutoka mwanza
Wasio na mchanga
Pakti sh 1000
Jumla pakti kuanzia 50 kila pakti sh 800
Ndoo ya lita 20 sh 60000
Nipo dsm 0714943735
Pia biashara hii kwa sasa inachangamoto sana
Mfano kule mwaloni wamepandisha bei sana
Pia kuna kodi ya ushuru
Kibali cha maliasili si chini ya laki 3
Na leseni ya kusafirishia mzigo si chini ya laki 3
Lakini ukiwa na mtaji wa maana faida ipo

Karibuni
Mkuu hata kwa wanao anzia kilo mia hizo gharama zinahusika..usafiri wa mabasi
 
Habari! Wakuu naomba mwenye ufahamu kuhusu hii biashara ya hawa Dagaa Wengine huita wa mafia,uono,wa nyama,wa zanzibar n.k naomba kufahamu kati ya mafia,kilwa,Tanga na Bwagamoyo wapi wanapatikana kwa urahisi zaidi na kwa wingi na maelezo mengine zaidi kwa anaefahamu anaweza yaweka hapa.Ahsanteh
IMG_20180812_142234.jpg
 
Habari! Wakuu naomba mwenye ufahamu kuhusu hii biashara ya hawa Dagaa Wengine huita wa mafia,uono,wa nyama,wa zanzibar n.k naomba kufahamu kati ya mafia,kilwa,Tanga na Bwagamoyo wapi wanapatikana kwa urahisi zaidi na kwa wingi na maelezo mengine zaidi kwa anaefahamu anaweza yaweka hapa.Ahsanteh
IMG_20180812_142234.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom