Biashara rahisi ya mtandao

Yaani...kuna kampuni inaitwa 4 corners alliance group iyo inahusika na uuzaji wa vitabu vya soft copy ambavyo ni vya ujasiriamali....kujiunga ni dola 18 ambapo dola 10 ni kwa ajili ya kununua kitabu na dola 8 ni kama registration fee...ukijiunga wewe kazi yako inakuwa ni kuinvite wengine kujiunga pia kwa kiasi hiko hiko cha dola 18.kila atakayejiunga kwako wewe km source unapata dola 4 kama faida kwako

Poa mkuu, ila kwa Tanzania hii niijuayo, issue za kusoma vitabu bado bado kidogo mpaka JP Magufuli aingie awamu ya pili labda.

Sikukatishi tamaa, endelea ku-Invite ila mimi hapana kwanza.
 
Kwa hali ya kawaida mtu kutengeneza kipato kwa dola 18 ni ndoto ila inawezekana hasa pale unapoamua kuifanyia kazi fursa hii... kumbuka baada ya hiyo dola 18 hutalipia tena kiwango chochote cha pesa...kazi yako ni kuadd watu tuu ktk biashara...kumbuka pia hutauza kitabu ww...kuuza kwako ni pale mtu anapojoin mtu...picha iyo inaonesha watu ktk level 1 hao wa4 ni mfano wa wale ambao umewajoin ww...ila level 2 na kuendelea ni wale ambao watakuwa added kutokana na watu wako wa4 wa mwanzo...
 
Poa mkuu, ila kwa Tanzania hii niijuayo, issue za kusoma vitabu bado bado kidogo mpaka JP Magufuli aingie awamu ya pili labda.

Sikukatishi tamaa, endelea ku-Invite ila mimi hapana kwanza.

Naelewa mkuu ila ndo ivyo tunatafuta pia hivyo vitabu utavisomaga tuu kwa faida yako maana wengi waliopo wanafocus kwenye kupata kipato as ukijiunga tuu automatically ushanunua kitabu so hauulizwi km umesoma au la...
 
Process inaenda km inavyoonekana pichani
 

Attachments

  • 1437998796395.jpg
    1437998796395.jpg
    29 KB · Views: 108
Mbona maelezo hayajitoshelezi mkuu. Embu fafanua



Yaani pale unapoadd watu wa4 au zaid ww unalipwa dola 4 kwa kila mmoja...mind u ukishaadd watu wa4 unakuwa umerudisha pesa yako uliyoanzia...wale ulioadd nao wakiingiza watu wewe pia utalipwa dola 4 kwa kila anapoingia mtu hapo unakuwa level2...level 3 ni pale walioongezeka wanapoongeza watu pia hapo sasa kwa kila mmoja utapata dola 10 kumbuka kuwa hutalipia ela tena baada ya ile dola 18 ya mwanzo...watu wako ulioingiza mwanzo iwe wa4 au zaid ndo watakaokutengenezea ww pesa kwa jinsi watakavyoongezeka
 
Waii ngoja niendelee kuchuuza boxer na vyupi nazingatia mahitaji ya waTanzania kwa ujumla
 
Waii ngoja niendelee kuchuuza boxer na vyupi nazingatia mahitaji ya waTanzania kwa ujumla

Yah ni vizuri kwani ata mm nna biashara nyingine hii ni kwa ajili ya extra income as natumia muda wa ziada kuifanya...pia dola 18 tuu nilizotoa mwanzo ndo zinaniingizia pesa mpaka sasa..kumbuka hautauza kitabu...bali kila atakayejoin kwako ndo itakuwa faida kwako
 
Hii ni networking busness ni pasua kichwa kwa ujumla haifai ,nahii imetokana na kuangamizwa piryamids system hapa bongo kama ile deci, lakini wanaofanya hii network wanakata kuwa hii ni pyramid schemes, nikiangalia ni ile ile,hebu angalia mi nanunua kitabu kimoja ndo bidhaa kuu(kwahakika kitabu hichi hakina maana kama unatakakisoma na hakifai)kwa dola 18,unaita au kikukitangaza kitabu wana kuja wanne ama watano wana fanya mtindo huo,idadi inakwenda inatanuka hatia maalfu wameliwa pesa mtu mmoja amefaidi,yule mwenye mfumo we we utakaejiunga unamlisha unampa mshahara kila kitu. Wewe hutofaidika sana sana hela yako ya kitabu ya weza rudi ama isirudi,inaweza rudi kama ulio washaishi wakainunua hiyo bidhaa. Nakama wanayohiyo hela naujuavyo wabongo shida kibao mtu atoe hiyo elefu 36000 kirahisi.
 
Back
Top Bottom