Yasintajohn56
Member
- Jul 26, 2022
- 25
- 47
Hi everyone,
Naitwa Princess niko Mwanza-Nyegezi.
Nilikuwa naomba kuuliza biashara gani naweza kuifanya hapa ndani ya mkoa wa Mwanza.
Mtaji ni 2million
Msaada tafadhali
Naitwa Princess niko Mwanza-Nyegezi.
Nilikuwa naomba kuuliza biashara gani naweza kuifanya hapa ndani ya mkoa wa Mwanza.
Mtaji ni 2million
Msaada tafadhali