Bi Hellen, tunataka taarifa iliyokwenda The Hague si maneno matupu

Ikitolewa hati ya kumkamata Vasco Dagama, Said Mwema, Shamsi Nahodha na Emanuel Nchimbi i hope Vasco Dagama atapunguza safari kwani atakua anahofia kuswekwa kolokolono kitu the Hague Uholanzi......
 
I think uvumilivu ni busara zaidi. katika kufungua kesi hukurupuki tuu kwenda kufungua. kuna taratibu za kufuatwa. Tumuombee Dr. kijo na kumtia moyo. ana wasaidizi wazuri pale LHRC

Hilo ndilo neno.Yeye analinda uovu anoogelewa ndani yake.Mama shujaa sana.
 
Watu wana decode scipts za miaka ya giza kwa lugha ngeni na ikiwa na misemo ya msimu wa kipindi hicho na au hata version ya kizamani bado wanakuja na majibu sahihi kwa 80%.Ndio hii sheria muisomayo ambayo hata katika net ipo materials yapo, na kuna watu kibao wa kuwauliza?

Engineering na business watu wanasoma law.kwa mtu asiye kilaza akishika vitabu na kusoma kwa makini hakuna kitakachomshinda+zipo video nyingi tuu za lecture(zinazompitisha mtu katik njia zote za sheria,kwa lugha ambazo ni cleare kuliko wababaisha wetu wa kibongo ). Pengine hujawahi ziona kwa vile ulikuwa ukimbia na mademu hukuweza soma zaidi ya cha darasani huku ukijihusha na wizi wa mitihani.Hiyo experience yako ya hayo makampuni ya kicheck bob yamekupa kiburi na kujiamini katika baseless ideas.
unachotakiwa kujua ni kwamba, engineering na hao unaowaita sijui nini, wanasoma sheria ndogo sana, kama sub-division vichache mno..hasahahasa wanasoma sheria za mikataba, sheria za mazingira na kidogo sana...hata mtu mwenye certificate anawazidi. what you need to know ni kwamba, kuna namna ya kuinterpret law, ambayo watu wanafundishwa si kwa kuangalia tu video, ni kwa kufundishwa kabisa, na hiyo huanza first year. kuanzia mwaka wa kwanza hadi mwaka wa nne tufanye kwa pale udsm, kila siku mtu unasoma sheria, lakini hauwezi kuzimaliza...sasa wewe unayesoma kaaina kamoja au tuwili tu twa sheria, na kusingizia kuwa zingine utasoma kwenye mitandao na video za kwenye mitandao...do you think you will ever be a lawyer? never. never....huwezi kuwa mwanasheria, na sheria haisomeki hivyo, hautaelewa nilisemalo hadi usome miaka minne ya sheria ndo utakuwa na uwezo walau wa kubishana na mwanasheria. hapo ulipo hujui unachokifanya.
 
:bolt:Haki ya Mungu February, Mwamvita na The prince dollor maker Riz 1 anzeni kuchagua ni lupango ipi inawafaaa T2015 CDM inakuja
 
huyo prosecutor atakuwa ni prosecutor wa chadema, atakuwa anatumia mahakama ya chadema, na sheria watakuwa wanatumia sheria zilizotungwa na chadema...hata kama mimi ni mwanachadema, lakini kama wanachadema wengine watakuwa na akili mbofumbofu kama yako, kwakweli siitahitaji kuendelea kuwepo chadema....unachotakiwa kueelewa ni kwamba, the case itself is not admissible before the icc kulingana na sheria. nenda kasome makosa yale manne yaliyoko icc statute ili uelewe utakapokuwa unajadili. labda upeleke mahakama ya nyumbani kwako na mkeo.

kuongea kuonyesha kutoipenda ccm,...mimi mwenyewe siipendi sisiemu kama nini. kuhusu kwamba wanasheria hatutakiwi kuandamana...hapo umepotokea kabisaa, kwasababu sisi ndo wanasheria tunaojua kuwa kuandamana na kuexpress opinion ni haki ya kikatiba. kama yakitokea maandamano ya amani kulaani chochote na tukifuata sheria, wanasheria wote, mahakimu na majaji tunatakiwa kuandamana kwa pamoja kwa amani, ni haki ya kikatiba. usifikiri hatuna haki ya kuandamana. uliona wale wa uganda walioandamana na kugoma? au ndo unatumia radio mbao?

Hiyo ni obsession yako kwa CDM,Deus,Kidjo ila huna deal.Ujafanya huipendi CCM wakati ndio kila kitu kwako?

Sijasema unatakiwa au hautakiwi kuandamana.Nimeuliza kwanini uandamane?wakati una access kibao za kufiki malengo yako.Rushwa na makatee mengine ya kubebwa.Unaniuliza swali kama hamtakiwi kuandamana ,kwani maandamano yapo katik jobdescription yako?Kuwa na haki hakumaanishi ni responsibility hadi utakiwe kufanya hivyo kilaza wewe.haki unaweza itaka au usiitake.Ndio maana nikakuuliza kama na wewe huandamana?instead utakuwa na haja ya kuyazuia.
 
unachotakiwa kujua ni kwamba, engineering na hao unaowaita sijui nini, wanasoma sheria ndogo sana, kama sub-division vichache mno..hasahahasa wanasoma sheria za mikataba, sheria za mazingira na kidogo sana...hata mtu mwenye certificate anawazidi. what you need to know ni kwamba, kuna namna ya kuinterpret law, ambayo watu wanafundishwa si kwa kuangalia tu video, ni kwa kufundishwa kabisa, na hiyo huanza first year. kuanzia mwaka wa kwanza hadi mwaka wa nne tufanye kwa pale udsm, kila siku mtu unasoma sheria, lakini hauwezi kuzimaliza...sasa wewe unayesoma kaaina kamoja au tuwili tu twa sheria, na kusingizia kuwa zingine utasoma kwenye mitandao na video za kwenye mitandao...do you think you will ever be a lawyer? never. never....huwezi kuwa mwanasheria, na sheria haisomeki hivyo, hautaelewa nilisemalo hadi usome miaka minne ya sheria ndo utakuwa na uwezo walau wa kubishana na mwanasheria. hapo ulipo hujui unachokifanya.

wewe kweli na matatizo ,ubongo unaweza kuwa umebaki sehemu ya kufanya basic things za kumaintan mwili tuu ambazo kwa the way ni automatic.

Pale wapo vijana wengi tuu wenye bachelor na masters niwajuao.Sasa hichi uengacho hapa ni uharo mtupu.Kadanganye wajinga wenzio waliobebwa kama wewe.

Nimesoama kiaina kimoja au tuwili,wewe unajua ukubwa wa DVD?Halafu zidisha mara kadhaa.Halafu interpretation gani hiyo unadhani ni that complicated?Sheria hupoteza muda mwingi kupitia logic ya maamuzi mengi yalitolewa katika hukumu maarufu pamoja ,terminologies na practices zaidi ya kujenga logical reasoning.Good Engineers na wenye basic nzuri katika logics na fundementals of mathematics na law,huwa wana uwezo mkubwa kuliko wanasheria wengi sana.Tofauti kiwa licence too.Anything else will depend on how hoja zimejengwa na evidence zilizopatikana.Hizo interpretation nyingine zinafanywa na mahakama.
 
wewe kweli na matatizo ,ubongo unaweza kuwa umebaki sehemu ya kufanya bsiki things za kumaintan mwili tuu ambazo kwa the way ni automatic.

Pale wapo vijana wengi tuu wenye bachelor na masters niwajuao.Sasa hichi uengacho hapa ni uharo mtupu.Kadanganye wajinga wenzio waliobebwa kama wewe.

Nimesoama kiaina kimoja au tuwili,wewe unajua ukubwa wa DVD?Halafu zidisha mara kadhaa.Halafu interpretation gani hiyo unadhani ni that complicated?Sheria hupoteza muda mwingi kupitia logic ya maamuzi mengi yalitolewa katika hukumu maarufu pamoja ,terminologies na practices zaidi ya kujenga logical reasoning.Good Engineers na wenye basic nzuri katika logics na fundementals of mathematics na law,huwa wana uwezo mkubwa kuliko wanasheria wengi sana.Tofauti kiwa licence too.Anything else will depend on how hoja zimejengwa na evidence zilizopatikana.Hizo interpretation nyingine zinafanywa na mahakama.
hata usome divid mia nane, kama huna LLB wewe sio mwanasheria, hata dvd milioni kama hujui ku interpret sheria, huwezi jua sheria na huwezi kujiita mtu anayejua sheria...wewe sio mwanasheria na hujui sheria. ungekuwa mwanasheria ungejua ninachokisema...kuna somo kabisa namna ya kuinterpret sheria ambalo wewe una lack hivyo hujui unachokiongea...kusoma kwenye dvd ni tofauti na kufundishwa na kupractice...you still are in the group of laymen
 
bro, kifupi ni kwamba, hawana pa kwenda, zaidi sana waandae maandamano, tutoke twende mtaani tufanya maandamano ya amani kulaani kitendo hiki na kufanya jumuiya ya kimataifa kulitambua lililotokea ili wale agents walioruhusiwa na sheria ya icc walifikishe jambo hili the hague, ila kuendelea kubishana kwamba watafanikiwa kuwashitaki mapolisi the hague, ni kutwanga maji kwenye kitu...hata wewe mh.mbunge mtarajiwa ni mgumu kuelewa kiasi hiki? utaenda kufanya nini sasa bungeni?

Whats wrong with you Comrade? Kwanini usi Relax hadi ionekane kuwa wamekosa pa kwenda, ni waongo au mwameshindwa kwenda the ICC? Unahangaika nini humu? Naanza kuhisi mambo mawili.
1. Huenda wewe ni Mtuhumiwa
2. Huenda una ndugu yako mtuhumiwa.

Relax acha kujisumbua. Kilichopangwa kitatimia soon na utayameza maneno yako hapa hapa kwenye uzi huu.. I swear.
 
Whats wrong with you Comrade? Kwanini usi Relax hadi ionekane kuwa wamekosa pa kwenda, ni waongo au mwameshindwa kwenda the ICC? Unahangaika nini humu? Naanza kuhisi mambo mawili.
1. Huenda wewe ni Mtuhumiwa
2. Huenda una ndugu yako mtuhumiwa.

Relax acha kujisumbua. Kilichopangwa kitatimia soon na utayameza maneno yako hapa hapa kwenye uzi huu.. I swear.
h nothing is wrong comrade! kifupi ni kwamba, tulikuwa tunajadili kauli ya Dr. hellan kwamba atawashitaki mapolisi na hao wengine the hague. ..jambo ambalo haliwezekani,,,sasa unajua kwa wanasheria, ukiwa unaenda kwa kutumia wrong procedure ni kosa kubwa sana hasa kwa mtu ambaye ana hadhi ya PHD....kama yeye. mimi sio mtuhumiwa, wewe mwenyewe unaelewa kabisa kwa haya niliyoandika kuwa nisingekuwa nafanya kazi ya field force unit ffu wale waliumuua mwenzetu mwangosi. pia sina ndugu yangu yeyote yule ambaye ni polisi na ambaye yupo na cheo chochote kikubwa selikalini. mimi ni mtoto wa mkulima tu na Mungu alinijalia kunifikisha aliponifikisha. ungekuwaje kama wewe ni Daktari wa binadabu tena wa upasuaji, mgonjwa akaja ukaona madaktari wenzio wanataka kumpasua mshitakiwa kichwa wakati alitakiwa kupasuliwa kidole...si lazima utawapinga sana? ndicho tunachofanya hapa....procedure ambayo dr ametangaza si sahihi, ila kwasababu watz wengi hawajui procedure hiyo ilifaa kutoa tamko hili ili kuwatisha tu, na nadhani pengine alikuwa anawatisha tu ili wakati wanafanya kazi wajue wasipokuwa makini basi watajikuta wamefika icc, ila si kwa kosa hili la tukio hili...kwa wale wanaojua sheria za jinai za kimataifa, ni wazi kwamba kosa hili halifit pale kulingana na ingredients za makosa yale manne na mazingira ya utendaji wa icc yenyewe. pale tutakapoona sheria au procedure yeyote ya kisheria inapindishwa tukanyamaza kimya basi nchi nzima tutaonekana vihiyo wa sheria....kama heshima tu ya mama yangu bi sima nampa kama mama tu ila si kama mtu aliyeongea point kwenye hili.
 
hata usome divid mia nane, kama huna LLB wewe sio mwanasheria, hata dvd milioni kama hujui ku interpret sheria, huwezi jua sheria na huwezi kujiita mtu anayejua sheria...wewe sio mwanasheria na hujui sheria. ungekuwa mwanasheria ungejua ninachokisema...kuna somo kabisa namna ya kuinterpret sheria ambalo wewe una lack hivyo hujui unachokiongea...kusoma kwenye dvd ni tofauti na kufundishwa na kupractice...you still are in the group of laymen
Kama sijaenda shule kabisa lakini najitetea mahakani na nashinda kesi itakusaidia nini kuthibitisha bila LLB huwezi interpret sheria?

Chenge alisoma sheria vizuri ila hakuweza interpret sheria.Mwigulu kasoma uchumi ila hajui jinsi ya kuikwamua CCM,yule jamaa yenu wa ile hotel aliyofanyia prince mkutano hajasoma ila anamake money hadi mafisadi wakaona waweze naye.Kama unajua sheria kwanini usiwafundishe CCM wasipande na bastola majukwaani?Na ujinga mwingine hadi mkapoteza jimbo?Mbona mahakama kuu kumekuwa na wanasheria wasio hata na degree?Wakti akina mama Kidjo wana graduates wengi tuu,wengine walikupiga bao darasani huku wakinywa pombe sana.Wewe ukachukua njia ya wizi wa mitihani.

Kwa taarifa yako askari wameshaanza kujiapiza kuwa hawatapiga tena bomu wala risasi,wameshajua wanasheria wa CCM hawajui sheria kihivyo na akili zao hazijawahi zidi robots.Kwa hiyo kaa mkao wa kulipa vya watu.

Tutahonga hata mgodi kwa nchi itakayokupa hifadhi ikurudishe uendapo wewe na wengine katika gangster club yenu(CCM).Tukiwahonga US deal ya gas sheria za ICC utaona zitakavyokuwa laini.
 
Kama sijaenda shule kabisa lakini najitetea mahakani na nashinda kesi itakusaidia nini kuthibitisha bila LLB huwezi interpret sheria?

Chenge alisoma sheria vizuri ila hakuweza interpret sheria.Mwigulu kasoma uchumi ila hajui jinsi ya kuikwamua CCM,yule jamaa yenu wa ile hotel aliyofanyia prince mkutano hajasoma ila anamake money hadi mafisadi wakaona waweze naye.Kama unajua sheria kwanini usiwafundishe CCM wasipande na bastola majukwaani?Na ujinga mwingine hadi mkapoteza jimbo?Mbona mahakama kuu kumekuwa na wanasheria wasio hata na degree?Wakti akina mama Kidjo wana graduates wengi tuu,wengine walikupiga bao darasani huku wakinywa pombe sana.Wewe ukachukua njia ya wizi wa mitihani.

Kwa taarifa yako askari wameshaanza kujiapiza kuwa hawatapiga tena bomu wala risasi,wameshajua wanasheria wa CCM hawajui sheria kihivyo na akili zao hazijawahi zidi robots.Kwa hiyo kaa mkao wa kulipa vya watu.

Tutahonga hata mgodi kwa nchi itakayokupa hifadhi ikurudishe uendapo wewe na wengine katika gangster club yenu(CCM).Tukiwahonga US deal ya gas sheria za ICC utaona zitakavyokuwa laini.
Deus, kama ulijitetea mahakamani wakati hujasoma sheria, ulibahatisha, ni bahati, lakini sio kwamba unajua sheria. hapa tunaongelea kujua sheria, sio uchumi au kuna na pesa, au ccm....get to the point.....halafu mimi siwezi kuwafundisha ccm, kwasababu sio mwanaccm,naomba tuheshimiane.
 
Deus, kama ulijitetea mahakamani wakati hujasoma sheria, ulibahatisha, ni bahati, lakini sio kwamba unajua sheria. hapa tunaongelea kujua sheria, sio uchumi au kuna na pesa, au ccm....get to the point.....halafu mimi siwezi kuwafundisha ccm, kwasababu sio mwanaccm,naomba tuheshimiane.

Na wewe kabahatishe....Sheria wana intepret mahakama.Mwingine yeyote anahitaji kuzifuata na ikibidi kutumia loopholes. hakimu ndiye an interpret ili aweze fanya right decisions kulingana na mwenendo wa Kesi.Yaani ana map(link) events, evidence na actions with vipengele husika vya sheria ili aweze tolea hukumu.

Kwa muelewa interpretation ni too automatic to be considered as a separate process.Kasome maana ya neno "intepretation".hata kwa kutumia dictionary ya sheria.Ndio utajua si big issue kihivyo kama kichwa yako inavyotaka.Watu huweka viwango vya elimu kwa imani kuwa uwezekano (probability)wa kupata mtu mwenye uelewa sahihi ni mkubwa ila is guarantee.Imani kubwa ni kwamba kuna mitihani katika kipindi cha masomo,ila hawakuangalia uwezekano wa kuiba mtihani,na kununua maxi kama wewe.Ila mtu aliyesoma kitu akipendacho huwa ana hakika zaidi ya ku master vitu vya msingi kwa kusoma theory vyema kuliko wasomao past papers.
 
Na wewe kabahatishe....Sheria wana intepret mahakama.Mwingine yeyote anahitaji kuzifuata na ikibidi kutumia loopholes. hakimu ndiye an interpret ili aweze fanya right decisions kulingana na mwenendo wa Kesi.Yaani ana map(link) events, evidence na actions with vipengele husika vya sheria ili aweze tolea hukumu.

Kwa muelewa interpretation ni too automatic to be considered as a separate process.Kasome maana ya neno "intepretation".hata kwa kutumia dictionary ya sheria.Ndio utajua si big issue kihivyo kama kichwa yako inavyotaka.Watu huweka viwango vya elimu kwa imani kuwa uwezekano (probability)wa kupata mtu mwenye uelewa sahihi ni mkubwa ila is guarantee.Imani kubwa ni kwamba kuna mitihani katika kipindi cha masomo,ila hawakuangalia uwezekano wa kuiba mtihani,na kununua maxi kama wewe.Ila mtu aliyesoma kitu akipendacho huwa ana hakika zaidi ya ku master vitu vya msingi kwa kusoma theory vyema kuliko wasomao past papers.
you know, its very difficult to make a layman understand law. basi tufanye umeshinda, ubakie na mtindio wako huohuo tuone mtafikia wapi.
 
you know, its very difficult to make a layman understand law. basi tufanye umeshinda, ubakie na mtindio wako huohuo tuone mtafikia wapi.

Is that how you urge in the court of law?next time kaseme hivyo mahakamani.Kweli una LLB
 
Back
Top Bottom