Pundamilia07,
Nimekuelewa sana isipokuwa sioni sababu kabisa ya kumzungumzia Mama Huyu kwa sababu tu ametoa hoja Bungeni iliyowakera..Halafu kule mnakoelekea ni sehemu ambazo hata huyo Lowassa hakuguswa kiasi kwamba naanza kuamini kuwa hapa ni ushabiki mtupu na hauna faida kwetu wasomaji kwani hakuna anayetaka kumfahamu Maa huyu kabla hajaolewa ama kisha olewa nje ya Siasa na comment alizotoa bungeni.
Unajua kwa mwendo huu mnanikumbusha mdogo wangu alokuwa hapendi kwenda shule kila siku anaulaza akiulizwa na mama swala lake la kwanza huwa mbona wewe pia hukusoma?..
Kwa mshangao mama hakujua la kumjibu lakini jambo moja ambalo mdogo wangu hakufahamu ni kwamba Mama hakuweza kusoma zaidi kwa sababu miaka ile darasa la nane uki fail ndio imetoka hiyo.. tafuta ndoa.
Now, ni kipi hasa kinachofanya sisi hapa tumkomalie Mama huyu ktk hoja zisizohusiana na hoja yake?. Je, maneno ya kweli aliyozungumza?.. na ni sababu zipi zinazokupeni picha ya kuwa ni mwongo ama anaongopa.
Tumhoji shahidi hali yake kiakili, kiafya kulingana na hoja iliyopo mbona sioni mtu akitueleza kuhusu JK, Pinda na wengineo maisha yao kabla hawajaoa?.
Again, hawa ni viongozi wetu tuwahukume kwa yale mabaya wanayoyafanya na kuwapa sifa pale wanapotimiza ahadi zao, na mashujaa ni wale wanaosimama mahala ambapo wengi wetu wangeingia mitini, haijalishi makuzi yao.
Nimekuelewa sana isipokuwa sioni sababu kabisa ya kumzungumzia Mama Huyu kwa sababu tu ametoa hoja Bungeni iliyowakera..Halafu kule mnakoelekea ni sehemu ambazo hata huyo Lowassa hakuguswa kiasi kwamba naanza kuamini kuwa hapa ni ushabiki mtupu na hauna faida kwetu wasomaji kwani hakuna anayetaka kumfahamu Maa huyu kabla hajaolewa ama kisha olewa nje ya Siasa na comment alizotoa bungeni.
Unajua kwa mwendo huu mnanikumbusha mdogo wangu alokuwa hapendi kwenda shule kila siku anaulaza akiulizwa na mama swala lake la kwanza huwa mbona wewe pia hukusoma?..
Kwa mshangao mama hakujua la kumjibu lakini jambo moja ambalo mdogo wangu hakufahamu ni kwamba Mama hakuweza kusoma zaidi kwa sababu miaka ile darasa la nane uki fail ndio imetoka hiyo.. tafuta ndoa.
Now, ni kipi hasa kinachofanya sisi hapa tumkomalie Mama huyu ktk hoja zisizohusiana na hoja yake?. Je, maneno ya kweli aliyozungumza?.. na ni sababu zipi zinazokupeni picha ya kuwa ni mwongo ama anaongopa.
Tumhoji shahidi hali yake kiakili, kiafya kulingana na hoja iliyopo mbona sioni mtu akitueleza kuhusu JK, Pinda na wengineo maisha yao kabla hawajaoa?.
Again, hawa ni viongozi wetu tuwahukume kwa yale mabaya wanayoyafanya na kuwapa sifa pale wanapotimiza ahadi zao, na mashujaa ni wale wanaosimama mahala ambapo wengi wetu wangeingia mitini, haijalishi makuzi yao.